Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
HAWA CCM NA CUF -ZANZIBAR WANAITAJI MAOMBI SANA
Maelfu ya wafuasi wa chama cha CUF na CCM Zanzibar wakijumuika katika maandamano ya kuunga mkono kauli ya katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad ya kutaka uchaguzi mkuu visiwani humo usogezwe mbele, Maandamano hayo yalianza katika uwanja wa Maisara na kuishia kiwanja cha Demokrasia Kibanda Maiti jana.
Maelfu ya wafuasi wa chama cha CUF na CCM Zanzibar wakijumuika katika maandamano ya kuunga mkono kauli ya katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad ya kutaka uchaguzi mkuu visiwani humo usogezwe mbele, Maandamano hayo yalianza katika uwanja wa Maisara na kuishia kiwanja cha Demokrasia Kibanda Maiti jana.