Elections 2010 CCM na CHADEMA wakubaliane yaishe

Byendangwero

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
871
56
Katika medani ya siasa inapobidi, vyama vya siasa hasimu huona ni heri kufunga ndoa ya maridhiano, (marriage of convenience) ili kuepusha balaa.
Ndoa hiyo ya maridhiano inayo mifumo mingi. Mfumo uliozoeleka ni ule wa kuunda serikali ya muungano au umoja wa kitaifa. Lakini pia ndoa hiyo inaweza ikaishia tu kwa vyama husika kuwa na muafaka, ambapo chama tawala kinakubali kujumuisha katika ilani yake ya uchaguzi baadhi mambo muimu yaliyo ainishwa katika ilani yu uchaguzi ya hasimu wake. Kwa kuzingatia hayo, napenda nitoe rai ya kwamba kuna haja ya CCM na CHADEMA kukaa pamoja na kubadirishana mawazo juu ya utekelezaji wa sera ya CHADEMA ya na muundo wa serikali ndogo, kwakuwa muundo wa serikali tulionao unasababisha rasilimali nyingi ya taifa kutumika katika uendeshaji badala yamaendeleo ya wananchi.
 
Hivi unajua tatizo sio Dr. Slaa kukosa urais bali wapiga kura kutopewa haki yao

Kwa maneno mengine watanzania hawakua na sababu ya kupiga kura. Hivyo suala la sera linatoka wapi?
nani akubaliane na nani?
Hiyo ndoa ni baina ya wananchi na nani?
Mwizi ni mtu yeyote anayechukua kitu cha mtu(watu) bila kuomba ridhaa yao kabla au baada ya kukichukua
na kikifanya kitu hicho mali yake.

Kw definition hiyo Ndoa unayotaka wewe nii kati ya Mwizi na Mwenyemali Je inakubalika?????

Virus vyote hapa jukwaani tunavifahamu
 
Katika medani ya siasa inapobidi, vyama vya siasa hasimu huona ni heri kufunga ndoa ya maridhiano, (marriage of convenience) ili kuepusha balaa.
Ndoa hiyo ya maridhiano inayo mifumo mingi. Mfumo uliozoeleka ni ule wa kuunda serikali ya muungano au umoja wa kitaifa. Lakini pia ndoa hiyo inaweza ikaishia tu kwa vyama husika kuwa na muafaka, ambapo chama tawala kinakubali kujumuisha katika ilani yake ya uchaguzi baadhi mambo muimu yaliyo ainishwa katika ilani yu uchaguzi ya hasimu wake. Kwa kuzingatia hayo, napenda nitoe rai ya kwamba kuna haja ya CCM na CHADEMA kukaa pamoja na kubadirishana mawazo juu ya utekelezaji wa sera ya CHADEMA ya na muundo wa serikali ndogo, kwakuwa muundo wa serikali tulionao unasababisha rasilimali nyingi ya taifa kutumika katika uendeshaji badala yamaendeleo ya wananchi.

Huu ni upuuzi wala sio ujinga...

Upuuzi unatibiwa psychiatric clinc ...ujinga unafutwa shuleni...!

Which one do you choose!!

Ukiwa na chumba amabacho wameingia chatu 80.. ukafanikiwa kuwapunguza kuwa 61.... unaweza kuwaambia wanao waingie na wakalale chumba hicho?

80% ni za uchaguzi wa mwaka 2005 na 61% ni za 2010. tumemaliz akazi??????????
Tz inafaa kuishi?

Nafuu wangekuwa chatu ...lakini mafisadi wa wanaokumbatiwa na CCM....?
They are more dangerous and patheic ..than you dare to know!!!
 
Katika medani ya siasa inapobidi, vyama vya siasa hasimu huona ni heri kufunga ndoa ya maridhiano, (marriage of convenience) ili kuepusha balaa.
Ndoa hiyo ya maridhiano inayo mifumo mingi. Mfumo uliozoeleka ni ule wa kuunda serikali ya muungano au umoja wa kitaifa. Lakini pia ndoa hiyo inaweza ikaishia tu kwa vyama husika kuwa na muafaka, ambapo chama tawala kinakubali kujumuisha katika ilani yake ya uchaguzi baadhi mambo muimu yaliyo ainishwa katika ilani yu uchaguzi ya hasimu wake. Kwa kuzingatia hayo, napenda nitoe rai ya kwamba kuna haja ya CCM na CHADEMA kukaa pamoja na kubadirishana mawazo juu ya utekelezaji wa sera ya CHADEMA ya na muundo wa serikali ndogo, kwakuwa muundo wa serikali tulionao unasababisha rasilimali nyingi ya taifa kutumika katika uendeshaji badala yamaendeleo ya wananchi.
kawafungishe ndoa hawa kwanza then umletee Slaa mbofumbofu kama hizi.
Sitta na Rostam
Mwakyembe na Lowassa
Makamba (senior) na Shelukindo
Sofia Simba na yule katibu mkuu wake
Mwandosya na Mulla
......................
........................
........................
 
these are those people, ukitaka wakuelewe fimbo tu, au ngumi moja mdomo unabaki kama Kingunge meno yote chini, magego yanabaki, anatapika red tissues then unaanza kumfundisha, ataelewa kirahisi sasa, maana kama huyu si mjinga ila upumbavu unamzunguka every secs, au puuuuuuuhhhhh kwisha chini, akiamka wala harudi kuongea what is CCM, maana wanatuweka hapa tulipo, how can you negotiate with a thief..!!? where have u heard? huyu anatutukana, ww endelea
 
chadema wanahitaji kufanya kitu...., au kutoa tamko litakalo wapa matarajio wapiga kura wao, laa sivyo itaonekana hamkuwa serius mlikuwa mna beep tu!.
 
Ebu tujaribuni kujiweka ktk viatu vya Dr. Slaa ili tuweze kukadiria busara na hekima inayohitajika. Sehemu ya dola (JWTZ, UWT, POLICE, CCM's antifisadiz) wanamsukuma kutoa tamko na kuchukua madalaka kama Rajoelina wakati huo huo WANANCHI nao tunamwambia ww ndiye Rais wetu, sema ulichonacho moyoni sisi tutatekeleza. Kwa mtu mwenye uchu wa madalaka angeishafuata ya wapambe pasipo kujali mustakabali wa Taifa baada ya kutekeleza nini pressure groups wanataka. TUWENI NA SUBIRA.
 
kawafungishe ndoa hawa kwanza then umletee Slaa mbofumbofu kama hizi.
Sitta na Rostam
Mwakyembe na Lowassa
Makamba (senior) na Shelukindo
Sofia Simba na yule katibu mkuu wake
Mwandosya na Mulla
......................
........................
........................

diallo na masha, riz1 na masauni... Wakati tukisubiri tamko la amiri jeshi mkuu-WIS, tuna kila sababu ya kufikiri kwamba ccm lazima ifanye jambo la maridhiano kuepusha fukuto lijalo. Labda hawataki kuliona. Tuko tunaoamini kuwa WIS ni rais wetu hadi itakapofahamika kivingine
 
Byenda, Kenya walijitahidi kidogo kufanya hivyo na sasa wana katiba mpya. zimbabwe wamejitahidi sana lakini mpaka leo mambo si shwari. Mazingira yetu ni tofauti na hitaji la Slaa na watz si uraisi; ni haki kutendendeka au kuonekana inatendedeka. CCM si mwanamke ambaye anaweza kufunga ndoa na mwanamume makini kama CHADEMA na kamwe huo hautakuwa ushauri wangu. Mwanamke mchunaji au mchakachuaji hafai!
 
Siamini kama kuna watu wana mawazo butu kiasi hiki,ndio maana hata mabadiliko yanachelewa na kukumbana na matatizo tuliyo nayo kwa sasa.Nafikiri tuanze kuviweka vichwa kama hivi kwenye mstari ndio tutafanikiwa,kwani hawa ndio wakwamishaji na mawazo yao muozo,sijui umetumwa na nani.
 
Katika medani ya siasa inapobidi, vyama vya siasa hasimu huona ni heri kufunga ndoa ya maridhiano, (marriage of convenience) ili kuepusha balaa.
Ndoa hiyo ya maridhiano inayo mifumo mingi. Mfumo uliozoeleka ni ule wa kuunda serikali ya muungano au umoja wa kitaifa. Lakini pia ndoa hiyo inaweza ikaishia tu kwa vyama husika kuwa na muafaka, ambapo chama tawala kinakubali kujumuisha katika ilani yake ya uchaguzi baadhi mambo muimu yaliyo ainishwa katika ilani yu uchaguzi ya hasimu wake. Kwa kuzingatia hayo, napenda nitoe rai ya kwamba kuna haja ya CCM na CHADEMA kukaa pamoja na kubadirishana mawazo juu ya utekelezaji wa sera ya CHADEMA ya na muundo wa serikali ndogo, kwakuwa muundo wa serikali tulionao unasababisha rasilimali nyingi ya taifa kutumika katika uendeshaji badala yamaendeleo ya wananchi.

JK Ameonyesha njia baada ya kusema kuwa wote tumeshinda! kilicho baki aite wadau wote akiwemo DWS W aangalie tuliko toka tuko wapi na tunako elekea hapo mtainuliwa wote na kuweka historia ya nnchi achaneni na washabiki atakaye kataa ni adui no MOJA WA TAIFA LETU! fulsa ipo tuitumie !
 
siasa za CHADEMA ni either CHADEMA au adui, hivi hujawahi kulifikiria hili its always CHADEMA vs NCCR- Mageuzi, CHADEMA vs TLP, CHADEMA vs CUF. Au chukua sample ya hapa JF uone kama hayo unayofikiria ni practical. Kinachofuatia kwa CHADEMA ni kuporomoka kama ambavyo NCCR ilivyokuwa baada kujenga maadui wengi kuliko marafiki.
 
Kukubaliana na CCM? Chadema wasifanye kosa hilo.

Kuna namna ya kuishinda CCM bila makubaliano fek kamai yale ya CUF. Chadema wanahitaji kuaminiwa na wananchi na si vinginevyo.

Wananchi ndio watakaoiondoa CCM madarakani.
 
siasa za CHADEMA ni either CHADEMA au adui, hivi hujawahi kulifikiria hili its always CHADEMA vs NCCR- Mageuzi, CHADEMA vs TLP, CHADEMA vs CUF. Au chukua sample ya hapa JF uone kama hayo unayofikiria ni practical. Kinachofuatia kwa CHADEMA ni kuporomoka kama ambavyo NCCR ilivyokuwa baada kujenga maadui wengi kuliko marafiki.

Day dream!
Chadema will be as strong as ever!
 
Katika medani ya siasa inapobidi, vyama vya siasa hasimu huona ni heri kufunga ndoa ya maridhiano, (marriage of convenience) ili kuepusha balaa.
Ndoa hiyo ya maridhiano inayo mifumo mingi. Mfumo uliozoeleka ni ule wa kuunda serikali ya muungano au umoja wa kitaifa. Lakini pia ndoa hiyo inaweza ikaishia tu kwa vyama husika kuwa na muafaka, ambapo chama tawala kinakubali kujumuisha katika ilani yake ya uchaguzi baadhi mambo muimu yaliyo ainishwa katika ilani yu uchaguzi ya hasimu wake. Kwa kuzingatia hayo, napenda nitoe rai ya kwamba kuna haja ya CCM na CHADEMA kukaa pamoja na kubadirishana mawazo juu ya utekelezaji wa sera ya CHADEMA ya na muundo wa serikali ndogo, kwakuwa muundo wa serikali tulionao unasababisha rasilimali nyingi ya taifa kutumika katika uendeshaji badala yamaendeleo ya wananchi.

IF and ONLY IF

1. NEC is disolved, and a new free and transparent NEC is appointed, not by president, but by we the people of the United Republic of Tanzania.

2. CCM and NEC admit they rigged the votes in this year's general elections and allow re-counting of the votes.

3. Government call on constitutional reform within the first 100 days

Vinginevyo, your idea is, to me, unacceptable.
 
Kinachofuatia kwa CHADEMA ni kuporomoka kama ambavyo NCCR ilivyokuwa baada kujenga maadui wengi kuliko marafiki.

hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu bora usiwe unachangia kama unadhani huna hoja
 
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu bora usiwe unachangia kama unadhani huna hoja

mra kadhaa nimekuwa sina hoja lakini nikaendelea kuchangia, wewe na mwenzako yule mwanasheria niliwaambia hata jua lishuke kwa hali ilivyo Slaa hawezi kuwa rais wa tano wa TZ, mkanitukana, leo nakuambia kuwa CHADEMA itaporomoka unaweza kuendelea kuamini unachotaka lakini ukweli utabaki kuwa palepale. Ungekuwa na akili ungeniuliza hilo linawezekanaje lakini kwa kuwa huna unakimbilia ku react.
 
mra kadhaa nimekuwa sina hoja lakini nikaendelea kuchangia, wewe na mwenzako yule mwanasheria niliwaambia hata jua lishuke kwa hali ilivyo Slaa hawezi kuwa rais wa tano wa TZ, mkanitukana, leo nakuambia kuwa CHADEMA itaporomoka unaweza kuendelea kuamini unachotaka lakini ukweli utabaki kuwa palepale. Ungekuwa na akili ungeniuliza hilo linawezekanaje lakini kwa kuwa huna unakimbilia ku react.

Hujui unachokisema papaa.

Unamuona Chenge (Andrea) alivyo na kiburi? Basi ndivyo wasukuma wote tulivyo. Tumewamwaga Mwanza. Tumewamwaga Shinyanga.

Munataka nini?

Sasa tunaanza kusaidia kumwagwa kwenu mikoa mingine kwa sababu huko kwetu huwa tukikataa jambo, basi hakuna kubadilika.

Jibu swali:

Yuko wapi Msimamizi wa Uchaguzi Shinyanga?

Subiri 2015.
 
Back
Top Bottom