GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,099
Wana Jf, Kwa sasa hivi vyama viwili vinapitia maisha ya hovyo kuwahi kutokea kwenye siasa Zake za miaka kumi iliyopita. kipindi cha Raisi Kikwete vilinufaika sana kipesa. Kamati nyingi zilizoundwa bungeni wakati wa JK zilishirikiana sana kimkakati hasa kwenye matumizi ya pesa.
Wabunge wengine walihongwa na mifuko ya hifadhi ya jamii kuitetea kwenye kamati, Wabunge wengine waligeuka kuwa wauwaji wa Tembo wakimiliki silaha za kuulia wanyama
Yote haya yalifanyika kwa ushirikiano mzuri wa hizi kamati zilizoundwa na CCM na Chadema .
Hivi vitendo vya hama hama na kuikejeli serikali ni mbinu zinazotumiwa na wabunge wetu kwa sasa kutafuta shibe ya matumbo yao, Wengi walikopa pesa kipindi cha kampeni 2015 mambo yamekwenda ndivyo sivyo kwao
Ni muhimu kwa sasa kuanza kuwapuuza hawa wanasiasa wa hivi vyama viwili CCM na Chadema kama ilivyofanyika kwa kukipuuza chama cha CUF Maalim na Lipumba wake
Ni muhimu kuanza kuwaandika wanasiasa mmoja baada ya mungine kwa kuwaambia ukweli, Njaa na Tamaa zao zisiwayumbishe raia zaidi ya milioni 50
Ukiwaangalia Nape, Zitto,Nyalandu Kigwangala, Bashe na Mwigulu aliyejifanya kondoo sasa kwa ukimya ni njaa na uroho wa madaraka unawasumbua
Wabunge wengine walihongwa na mifuko ya hifadhi ya jamii kuitetea kwenye kamati, Wabunge wengine waligeuka kuwa wauwaji wa Tembo wakimiliki silaha za kuulia wanyama
Yote haya yalifanyika kwa ushirikiano mzuri wa hizi kamati zilizoundwa na CCM na Chadema .
Hivi vitendo vya hama hama na kuikejeli serikali ni mbinu zinazotumiwa na wabunge wetu kwa sasa kutafuta shibe ya matumbo yao, Wengi walikopa pesa kipindi cha kampeni 2015 mambo yamekwenda ndivyo sivyo kwao
Ni muhimu kwa sasa kuanza kuwapuuza hawa wanasiasa wa hivi vyama viwili CCM na Chadema kama ilivyofanyika kwa kukipuuza chama cha CUF Maalim na Lipumba wake
Ni muhimu kuanza kuwaandika wanasiasa mmoja baada ya mungine kwa kuwaambia ukweli, Njaa na Tamaa zao zisiwayumbishe raia zaidi ya milioni 50
Ukiwaangalia Nape, Zitto,Nyalandu Kigwangala, Bashe na Mwigulu aliyejifanya kondoo sasa kwa ukimya ni njaa na uroho wa madaraka unawasumbua