Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,032
Unafahamu vituo watakavyolipua... SifahamuChama cha demokrasia kinachoogopa mahakama
Wewe ni mwanamke au Mwanaume... Sifahamu
Umekuja hapa mahakamani kufanya nini.... Sifahamu
Taarifa za hii kesi ulizisikia kwa nani.... Kwa afande Kingai
Hapa Tunaongea na afande Kingai au na wewe..... Mimi sifahamu
Unafahamu PGO namba... inahitaji unapomkamata mtu ufuate utaratibu kama rula ilivyonyooka... ndio
Soma PGO namba..... uliyosema, Mheshimiwa Jaji mimi ananionea tu
Nasema soma hapa PGO namba...