- Thread starter
- #101
Siasa siyo ugomvi kwahili nawatetea nipo upande wao mbona ofisini na mashuleni watu wanakaa pamoja hata mahotelini shida iko wapi.
Nakishukuru sana kuthibitisha mlifanya sherehe pamoja kujipongeza.Hongereni sana!
Siasa siyo ugomvi kwahili nawatetea nipo upande wao mbona ofisini na mashuleni watu wanakaa pamoja hata mahotelini shida iko wapi.
Yeah zito anatia aibu. ..njaaa na tamaa ni mbaya...ona mpaka amemtoa mama yake kafara!
Bawacha kwa matusi tu hamjambo.
Mwl. Kaijage ni kama makapi ndani ya ACT maana anaweweseka na kutengwa jinsi chama chake kilipokwenda kula YAMINI na Ccm .
Huyu Mwl . Kaijage nina mashaka na shule pia anayofundisha pia kwa hoja zake nyepesi hivi darasani inakuwaje ?
Halafu kujitambulisha kuwa ni Mwl nadhani hoja yake ni kutaka kuwadhalilisha Walimu.
Anatokwa povu sana huyu Kaijage angekwenda jukwaa la Sayansi akajifunza kitu toka kwa Mwl RCT
Wanajifunza kutoka kwa BABU, yule pia ni kinara wa matusi!
Hivi ACT ndo kanisa lipo mkoa gani vile?
bila upinzani imara nchi yetu itayumba.wanapongezana kupokea wasaliti kuna maajabu sana.
alichokuwa anakipinga Juliana Shonza ni kipi hasa?
Tunaposema ACT ni CCM B tunamaanisha.. Tunaposema viongozi wa ACT ni vibaraka waliojivika joho la upinzani ilihali ni WAZANDIKI wa hali ya juu.
CCM iliwafanyia Tafrija Kigoma ya kuwapongeza kwa kile ilichodaiwa kuibomoa CHADEMA Kigoma!!