Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
Ndugu wanabord napenda kuchukua nafasi hii Kama siyo fursa hii kukipongeza chama cha mapinduzi kwa Kazi kubwa ya kuijenga nchii hii tangu kitukombowe kutoka kwenye mikono ya wanyang'anyi wakoloni ambao waliongoza nchi hii kwa kuwanyanyasa babu zetu na Bibi zetu
Lakini mwenyenzi Mungu alimtuma mtumishi wake Tanu na sasa ccm kuwakomboa watanzania toka utumwani ccm imefanya Mengi na bado inaendelea kufanya mojawapo ya mafanikio makubwa ni kufuta ujinga mkoloni kwa miaka 75 aliyotutawala mjerumani na mwingereza alishindwa kabisa kulikomboa taiga kutoka kwenye shida na taabu ambazo zilitusonga Barbara elimu afya nk
ccm ibarikiwe Leo kesho na kesho kutwa rekebisheni matatizo madogo madogo mnayolalamikiwa
Pia ingeni wabunge Wa ccm kwakwenda kututungia katiba mpya baada ya kuona hii 1977 inahitaji maboresho Kazi mzuri sana hawa vijana wanaotumiwa na wakoloni kutaka kuwarudisha nyuma achaneni nap kabisaaa wala msiwasikilize katiba ya wananchi itatengenezwa na ccm katiba ya wapinzani watatengenezwa katiba ya wakoloni kwani wao wakoloni wanatuonea wivu wanataka kurudi mlango Wa kurudia ni lazima wawatumie wapinzani wetu tuu
Lakini mwenyenzi Mungu alimtuma mtumishi wake Tanu na sasa ccm kuwakomboa watanzania toka utumwani ccm imefanya Mengi na bado inaendelea kufanya mojawapo ya mafanikio makubwa ni kufuta ujinga mkoloni kwa miaka 75 aliyotutawala mjerumani na mwingereza alishindwa kabisa kulikomboa taiga kutoka kwenye shida na taabu ambazo zilitusonga Barbara elimu afya nk
ccm ibarikiwe Leo kesho na kesho kutwa rekebisheni matatizo madogo madogo mnayolalamikiwa
Pia ingeni wabunge Wa ccm kwakwenda kututungia katiba mpya baada ya kuona hii 1977 inahitaji maboresho Kazi mzuri sana hawa vijana wanaotumiwa na wakoloni kutaka kuwarudisha nyuma achaneni nap kabisaaa wala msiwasikilize katiba ya wananchi itatengenezwa na ccm katiba ya wapinzani watatengenezwa katiba ya wakoloni kwani wao wakoloni wanatuonea wivu wanataka kurudi mlango Wa kurudia ni lazima wawatumie wapinzani wetu tuu