Tatizo ni IQ yako haiwezi kuelewa mambo makubwa.Ulichoandika ni sawa na uharo wa kuku mwenye kideri...!
...Lakini tufanyeje sasa wakati hata ninyi ni viumbe wake Mola?
Tatizo ni IQ yako haiwezi kuelewa mambo makubwa.Ulichoandika ni sawa na uharo wa kuku mwenye kideri...!
Halafu hapo kwenye post iliyopita unadai 'you never argue with fools!'. Anayejielewa anaandikaje sentensi kama hii?Ulichoandika ni sawa na uharo wa kuku mwenye kideri...!
Actually you are a fool number one...usifikiri wote ni wajinga Kama wewe...humu tunaelimishana na siyo kutanguliza matusi...kwa kutanguliza matusi humu ni uthibitisho wa namna ulivyo mjinga. Kuleta Mambo ya age humu ni uthibitisho wa ujinga wako na ni dhahiri hujakomaa kimawazo...if you don't like to argue here then shut up...Huwezi ukawaita wenzako wajinga halafu tukuache tu..if you continue with this rubbish of yours then nitakureport TCRA...
Hivi ndio TV za nchi jirani zinavyo m-describe Mzee Baba, kama mtu MKAIDI.
Je, mkaidi ni mtu wa aina gani? Huyo kwa kiingereza ni Stubborn na huwa hafai kwenye jamii kwani aweza kuleta madhara makubwa.
Kwa vile hayo yamesemwa sana hapa ndani na wapinzani wake na kitengo cha propaganda cha CCM kulivalia njuga jambo hili, ni wakati sasa Polepole na timu yake kupambana na majirani zetu wanaomwita Mzee Mkaidi kwa nguvu ileile wanayoitumia humu ndani.
Ila jambo moja la kujiuliza ni kuwa kwa nini kila mtu na akili zake anapata picha kuwa Mzee ni Mkaidi?
View attachment 1396496
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hapo kwenye post iliyopita unadai 'you never argue with fools!'. Anayejielewa anaandikaje sentensi kama hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili cha wa-kenya kina matatizo. wanaweza kuwa walikuwa wanamaanisha ujasiri. Ukaidi hauna uhusianao na Hotuba ya jana kwa taifa, so possibly walimaanisha UJASIRI na si ukaidi.Hivi ndio TV za nchi jirani zinavyo m-describe Mzee Baba, kama mtu MKAIDI.
Je, mkaidi ni mtu wa aina gani? Huyo kwa kiingereza ni Stubborn na huwa hafai kwenye jamii kwani aweza kuleta madhara makubwa.
Kwa vile hayo yamesemwa sana hapa ndani na wapinzani wake na kitengo cha propaganda cha CCM kulivalia njuga jambo hili, ni wakati sasa Polepole na timu yake kupambana na majirani zetu wanaomwita Mzee Mkaidi kwa nguvu ileile wanayoitumia humu ndani.
Ila jambo moja la kujiuliza ni kuwa kwa nini kila mtu na akili zake anapata picha kuwa Mzee ni Mkaidi?
View attachment 1396496
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuombe yasitokeeUnadhani Tanzania tutakufa kama Italy. Haitakaa itokee. Tafuta maarifa ni kwa nini wao hufa kama hao kuku unaowasema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiye unayepaswa kukaa kimya humu...na sitanii naweza kabisa kuifikisha hoja hii TCRA kwa upotoshaji kuhusu gonjwa hili na namna mnavyomdhihaki Rais...tayari PM na Rais mwenyewe wametoa tahadhari kwamba mitandao ijihadhari...Watch out...Kama mnadhani nyie ni wajanja mtadhibitiwa...Rais anasema hiki nyie mnapotosha makusudi kwa chuki zenu...Pamoja na tishio la Corona watanzania lazima tufanye kazi na Rais hajakosea kwa hili...hakuna nchi iliyosimama kufanya kazi...hata huko italia ambako wamekufa zaidi ya 5000 huku wengine wapatao 60,000 wakiwa wameambukizwa hawajasimama kufanya kazi...Sasa nyie mnapotosha kauli ya JPM aonekane kuwa hajali wakati sivyo...hatuwezi kuvumilia kuwaona nyie mnamsakama Rais pasipo sababu..I am just a citizen na Sina madaraka yoyote kwenye serikali hii..but this is our President and we have to respect him na kuungana naye to fight for this country..Is Your ID not 1954?
Then what's wrong calling you Mzee wa 1954....?
Hivi kuitwa Mzee au a Fool(mpumbavu)ni Tusi? Neno Pumbavu hata Rais wako analitumia kila mara mbona hujampeleka TCRA?
TUSITISHANE HAPA JF.....!
Wazungu Wana msemo: "IF YOU CAN'T STAND THE HEAT, GET OUT OF THE KITCHEN..." Hapa JF tunashindana kwa hoja na kama huna hoja ni bora ukae kimya na SIYO kutishia watu na TCRA!
Kiswahili cha wa-kenya kina matatizo. wanaweza kuwa walikuwa wanamaanisha ujasiri. Ukaidi hauna uhusianao na Hotuba ya jana kwa taifa, so possibly walimaanisha UJASIRI na si ukaidi.
Wa-Kenya wanaweza wakaongea statement kama hii, BERE YA KURA RIPA, wakimaanisha kuwa lipa kabla ya kula chakula. Tatizo ni Kiswahili, na si mantiki ya neno linalooneka hapo kwenye screen ya tv
Kabisa mkuu! Uko sahihi. Kiswahili cha Wakenya ni kibovu.Kiswahili cha wa-kenya kina matatizo. wanaweza kuwa walikuwa wanamaanisha ujasiri. Ukaidi hauna uhusianao na Hotuba ya jana kwa taifa, so possibly walimaanisha UJASIRI na si ukaidi.
Wa-Kenya wanaweza wakaongea statement kama hii, BERE YA KURA RIPA, wakimaanisha kuwa lipa kabla ya kula chakula. Tatizo ni Kiswahili, na si mantiki ya neno linalooneka hapo kwenye screen ya tv
Tukio havina uhusiano na neno. Still, watangazaji Kenya hawawezi kuwa so harsh kwa Raus Magufuli, na hata kama wakiwa, basi sina shaka Serikali yao inaweza ikawahoji. Kuna oversight tu hapo itakuwa imefanyika na si kwamba wamemaanisha kinachoonekana kwenye maandishi hayoSidhani Kama uko sahihi katika hili.,!
Watangazaji wa TV na Radio za Kenya wanaongea Kiswahili na Kiingereza Fasaha kabisa.
Kusema Neno UKAIDI walikuwa wakimaanisha ati UJASIRU si kweli..!
Kwa Kiingereza Ukaidi ni STURBONESS na Ujasiri Ni BRAVENESS...Kwa hiyo wako sahihi kusema Ni UKAIDI wa Rais Magufuli kukaidi maelekezo sahihi ya kitaalamu kuhusu janga la Covid-19!!
Wewe ndiye unayepaswa kukaa kimya humu...na sitanii naweza kabisa kuifikisha hoja hii TCRA kwa upotoshaji kuhusu gonjwa hili na namna mnavyomdhihaki Rais...tayari PM na Rais mwenyewe wametoa tahadhari kwamba mitandao ijihadhari...Watch out...Kama mnadhani nyie ni wajanja mtadhibitiwa...Rais anasema hiki nyie mnapotosha makusudi kwa chuki zenu...Pamoja na tishio la Corona watanzania lazima tufanye kazi na Rais hajakosea kwa hili...hakuna nchi iliyosimama kufanya kazi...hata huko italia ambako wamekufa zaidi ya 5000 huku wengine wapatao 60,000 wakiwa wameambukizwa hawajasimama kufanya kazi...Sasa nyie mnapotosha kauli ya JPM aonekane kuwa hajali wakati sivyo...hatuwezi kuvumilia kuwaona nyie mnamsakama Rais pasipo sababu..I am just a citizen na Sina madaraka yoyote kwenye serikali hii..but this is our President and we have to respect him na kuungana naye to fight for this country..
Tukio havina uhusiano na neno. Still, watangazaji Kenya hawawezi kuwa so harsh kwa Raus Magufuli, na hata kama wakiwa, basi sina shaka Serikali yao inaweza ikawahoji. Kuna oversight tu hapo itakuwa imefanyika na si kwamba wamemaanisha kinachoonekana kwenye maandishi hayo
Kuna upuuzi unataka kuletwa duniani and Magufuli is well aware with that.
Time will tell and numbers dont lie.Baada ya miezi miwili mje humu mtuambie whether he was right or wrong,ila mimi niko nae kwenye hili.He is right.Dunia imelikuza janga hili for reasons unknown to many.Hivi mlitaka awaambie mjifiche uvunguni?trend ya corona kwa Africa ikoje?watu wangapi wamekufa Africa?wangapi wapo seriously ill?tangu lini imeingia?Open up your eyes my fellow africans!Hili janga la Ulaya huko,wao wana janga moja tu corona,huku tuna mambo mazito zaidi ya hili,lazima akili yetu igawanyike vizuri,ukiibana sehemu moja yale mengine makubwa zaidi yatatumaliza.Ndivyo nilivyomuelewa jana.Corona ni hofu Italia,ila si lazima iwe hofu Tanzania.Mafua ya kawaida tu ni hofu Ulaya,vipi wewe na mie pua bapa,ushawahi kupoteza ndugu yoyote kwa flu?!hebu fungueni mioyo hiyo.
Tv gani hiyo imesema hivyo tuwekee tuone wenyewe kile wameongeleaHivi ndio TV za nchi jirani zinavyo m-describe Mzee Baba, kama mtu MKAIDI.
Je, mkaidi ni mtu wa aina gani? Huyo kwa kiingereza ni Stubborn na huwa hafai kwenye jamii kwani aweza kuleta madhara makubwa.
Kwa vile hayo yamesemwa sana hapa ndani na wapinzani wake na kitengo cha propaganda cha CCM kulivalia njuga jambo hili, ni wakati sasa Polepole na timu yake kupambana na majirani zetu wanaomwita Mzee Mkaidi kwa nguvu ileile wanayoitumia humu ndani.
Ila jambo moja la kujiuliza ni kuwa kwa nini kila mtu na akili zake anapata picha kuwa Mzee ni Mkaidi?
View attachment 1396496
Sent using Jamii Forums mobile app
Because Tanzania is an isolated land..no learn from those poor nationsMagufuli is a foresighted leader,he can't work by looking what other countries are doing well jpm ,they will praise you later on
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unasemaje? Hilo nalo ni jambo la kuwaalika CCM! Naona akili ziko tenge. Tangu lini Kenya ikasema la maana juu ya majirani zake? Tufikie wakati tusidandie kila habari na kuileta JF kwa majadiliano. Tujadili nini sasa!Hivi ndio TV za nchi jirani zinavyo m-describe Mzee Baba, kama mtu MKAIDI.
Je, mkaidi ni mtu wa aina gani? Huyo kwa kiingereza ni Stubborn na huwa hafai kwenye jamii kwani aweza kuleta madhara makubwa.
Kwa vile hayo yamesemwa sana hapa ndani na wapinzani wake na kitengo cha propaganda cha CCM kulivalia njuga jambo hili, ni wakati sasa Polepole na timu yake kupambana na majirani zetu wanaomwita Mzee Mkaidi kwa nguvu ileile wanayoitumia humu ndani.
Ila jambo moja la kujiuliza ni kuwa kwa nini kila mtu na akili zake anapata picha kuwa Mzee ni Mkaidi?
View attachment 1396496
Sent using Jamii Forums mobile app