Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Chama changu CCM, kama hàmjajua, wapinzani wako macho wana hamu kuona mnachagua nani.
Naomba niwajuze; msikosee kurudisha wale wazee wasioridhika. Kuna wazee wamekaa jimboni miaka 10-15-25 kama vile bunge ni lao, hakuna mwingine wa kuwapokea.
Naomba tusikosee kwa hili.
Nawatakia uteuzi mwema kuelekea uchaguzi.
ANOTHER54JPM
HALLA CHAIRMAN
Naomba niwajuze; msikosee kurudisha wale wazee wasioridhika. Kuna wazee wamekaa jimboni miaka 10-15-25 kama vile bunge ni lao, hakuna mwingine wa kuwapokea.
Naomba tusikosee kwa hili.
Nawatakia uteuzi mwema kuelekea uchaguzi.
ANOTHER54JPM
HALLA CHAIRMAN