Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,145
Kuna jambo sio bure bali linamtatiza Katibu mkuu Dr Bashiru. Anasema kuna ugonjwa unaitwa Tundu Lissu unatakiwa utibiwe na tiba yake ni Magufuli. Well, labda tafiti zilifanyika na kuugundua kama zile za coronavirus. Lakini viashiria alivyotaja ndio vinanitatiza eti ni Uongo, kiburi, uonevu, dhulma, ubinafsi na majivuno!?
Je, kweli huyu Katibu mkuu yuko sawa upstairs? Maradhi hayo kweli yatakuwa yanaitwa Tundu Lissu na dawa yake ni Magufuli au kakosea kuwa maradhi hayo yanaitwa Magu na dawa yake ni TunduLissu?
Dr Bashiru mbona ameanza kuwa mropokaji kiasi cha kuwa hana tofauti na Polepole?
CCM wahini kumpa msaada isije kuwa kuna tatizo zaidi ikawa taabu baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, kweli huyu Katibu mkuu yuko sawa upstairs? Maradhi hayo kweli yatakuwa yanaitwa Tundu Lissu na dawa yake ni Magufuli au kakosea kuwa maradhi hayo yanaitwa Magu na dawa yake ni TunduLissu?
Dr Bashiru mbona ameanza kuwa mropokaji kiasi cha kuwa hana tofauti na Polepole?
CCM wahini kumpa msaada isije kuwa kuna tatizo zaidi ikawa taabu baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app