CCM mpya Kofia moja, rais Magufuli tunaomba ajivue Kofia ya uwenyekiti wa Chama

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Katika muundo mpya wa CCM ya awamu ya tano, tumeamua tuwe na CCM mpya ambayo ni CCM mabadiliko sio yale mabadiliko ya kuzungusha Mikono ya waru fulani.

CCM hii tunataka mtu mmoja awe na cheo kimoja. Na hilo tumefanikiwa kuanza ngazi za chini kwenye uchaguzi ulioisha wa ndani ya chama.

Sifa ya Sheria ni msumeno hukata hukata huku na huku, sasa ni zamu ya ngazi ya Kitaifa, tunataka kuona Kofia moja.

Sisi wananchi tunaomba Viongozi wetu wawe mfano wa kuonesha kwa vitendo dhana ya Kofia moja.

CCM tunaongea kwa Vitendo na rais wetu ni mtu sikivu

Naomba kila Mwanaccm ulipo, tukazanie hili swala la haki ndani ya chama

Namshukiru sana Mzee wetu M/mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa, yeye kashauri kuangaliwa upya kwa utaratibu wa kupokezana vijiti katika uongozi wa juu wa CCM.

Hii Kampeni iwe ya nyumba kwa nyumba.

Mheshimiwa Bulembo kashatimiza kauli yetu ya Kofia moja. Kaonesha njia.

Uwenyekiti wa chama apewe Mangula au Kinana. Hii itasaidia kumbana mwenyekiti wetu wa chama tofauti na sasa. Ukimuuliza swali la chama anajificha kwenye kivuli cha Urais.

Kuondoka kwa Nyalandu itufumbue Macho umuhimu wa Kofia moja.

Nyalandu katuachia pengo japo tunajitutumua kwamba aende tu. Mwanaccm mwenzetu B. Membe alilizungumzia hili na kusema "Lazaro Nyalandu anaweza kubezwa, kutukanwa na kudharauliwa. Lakini ametuachia ujumbe mzito. Busara inataka tutafakari hoja zake.Tusipuuze!"

Ni wakati wa Kofia moja. Hii ya kufukuza watu bila kuwahoji wala kuwapa barua sio desturi ya chama chetu pendwa CCM.

Kumbukeni pale dodoma tulifanyia mabadiliko Katiba yetu na kuamua kupitisha mabadiliko makubwa ya katiba, ambayo yanapunguza idadi ya wajumbe katika vikao vya juu na pia kupunguza kofia za uongozi mwanachama mwenye cheo ndani ya chama, ubunge au serikalini.

Mabadiliko hayo yalipendekezwa na Halmashauri Kuu ya CCM, iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam Desemba 13 mwaka jana.

Mabadiliko hayo yalitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM aliyemaliza muda wake, Nape Nnauye kwamba muundo wa chama umebadilika na mwanachama anatakiwa kuwa na nafasi moja tu ya uongozi wa kazi za muda wote kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni za Uchaguzi wa CCM, Toleo la 2012, Kifungu cha 22 na 23.

Tunaomba Daktari, Profesa, Mheshimiwa, Mwenyekiti wa CCM Rais John Pombe Magufuli ajiweke pembeni kama katiba inavyotaka.

Si rahisi kutumikia mabwana wawili. Tumekaa kimya sana lakini tunaona hakuna kinachoendelea kuhusu Kofia moja. Kuendelea kuwa na Kofia tatu ni kuvunja katiba.

Tutailinda katiba ya CCM kwa nguvu zote. Na hili wanaccm tunaungana.
 
Kuna maDC kama watatu na maRC kama wawili waliochaguliwa uongozi wa CCM juzi kati. Hivyo,hiyo sheria yenu ya kofia moja ni kwa baadhi tu. Pambaneni na hali zenu bhana!
 
Hivi wale madisii, maarasii nk waliogombea nafasi za chama walishajitathmini?
Ccm ni mabingwa wa rivasi, jamaa baada ya kupewa uenyekiti akabadili na katiba kabisa asipate challenge 2020 agombee mwenyewe,
Hiyo haijatosha tukasikia za chini kuongezewa miaka 7 badala ya mitano. Hata museveni hizo mada alikua anapitishia kwa wabunge kama hoja binafsi. Huu ukanda hatuna bahati, kuanzia zambia, uganda, rwanda, Burundi, Congo, Sudan kusini, Tanzania, Zimbabwe etc
Au ndo revolushenalistis neva ritaya?
 
Hili la kofia mbili lilifanyika wakati wa mwinyi kama sikosei,baada ya kuona mambo hayaendi sawa,kukosoa kulikuwa kugumu.
Ukikosana na mwenye cheo ukamshinda kwa hoja upande wa chama basi anakusubiri upande wa serikali unamkuta yuleyule.
 
Mada hii namkumbuka professor Shivj katika enzi za ubora wake alopokuwa akizungumzia mambo ya Africanism.
Ikumbukwe kuwa suala la kufanyiwa tafiti za kina na watu wenye uwelewa mpana wa mambo ya maendeleo ya siasa ndio wachukuwe nafasi kujadili mambo hayo ya kofia moja sio watu kukurupuka na wengine kuona ndio jambo la kutuletea humu.
 
Katika muundo mpya wa CCM ya awamu ya tano, tumeamua tuwe na CCM mpya ambayo ni CCM mabadiliko sio yale mabadiliko ya kuzungusha Mikono ya waru fulani.

CCM hii tunataka mtu mmoja awe na cheo kimoja. Na hilo tumefanikiwa kuanza ngazi za chini kwenye uchaguzi ulioisha wa ndani ya chama.

Sifa ya Sheria ni msumeno hukata hukata huku na huku, sasa ni zamu ya ngazi ya Kitaifa, tunataka kuona Kofia moja.

Sisi wananchi tunaomba Viongozi wetu wawe mfano wa kuonesha kwa vitendo dhana ya Kofia moja.

CCM tunaongea kwa Vitendo na rais wetu ni mtu sikivu

Naomba kila Mwanaccm ulipo, tukazanie hili swala la haki ndani ya chama

Namshukiru sana Mzee wetu M/mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa, yeye kashauri kuangaliwa upya kwa utaratibu wa kupokezana vijiti katika uongozi wa juu wa CCM.

Hii Kampeni iwe ya nyumba kwa nyumba.

Mheshimiwa Bulembo kashatimiza kauli yetu ya Kofia moja. Kaonesha njia.

Uwenyekiti wa chama apewe Mangula au Kinana. Hii itasaidia kumbana mwenyekiti wetu wa chama tofauti na sasa. Ukimuuliza swali la chama anajificha kwenye kivuli cha Urais.

Kuondoka kwa Nyalandu itufumbue Macho umuhimu wa Kofia moja.

Nyalandu katuachia pengo japo tunajitutumua kwamba aende tu. Mwanaccm mwenzetu B. Membe alilizungumzia hili na kusema "Lazaro Nyalandu anaweza kubezwa, kutukanwa na kudharauliwa. Lakini ametuachia ujumbe mzito. Busara inataka tutafakari hoja zake.Tusipuuze!"

Ni wakati wa Kofia moja. Hii ya kufukuza watu bila kuwahoji wala kuwapa barua sio desturi ya chama chetu pendwa CCM.

Kumbukeni pale dodoma tulifanyia mabadiliko Katiba yetu na kuamua kupitisha mabadiliko makubwa ya katiba, ambayo yanapunguza idadi ya wajumbe katika vikao vya juu na pia kupunguza kofia za uongozi mwanachama mwenye cheo ndani ya chama, ubunge au serikalini.

Mabadiliko hayo yalipendekezwa na Halmashauri Kuu ya CCM, iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam Desemba 13 mwaka jana.

Mabadiliko hayo yalitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM aliyemaliza muda wake, Nape Nnauye kwamba muundo wa chama umebadilika na mwanachama anatakiwa kuwa na nafasi moja tu ya uongozi wa kazi za muda wote kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni za Uchaguzi wa CCM, Toleo la 2012, Kifungu cha 22 na 23.

Tunaomba Daktari, Profesa, Mheshimiwa, Mwenyekiti wa CCM Rais John Pombe Magufuli ajiweke pembeni kama katiba inavyotaka.

Si rahisi kutumikia mabwana wawili. Tumekaa kimya sana lakini tunaona hakuna kinachoendelea kuhusu Kofia moja. Kuendelea kuwa na Kofia tatu ni kuvunja katiba.

Tutailinda katiba ya CCM kwa nguvu zote. Na hili wanaccm tunaungana.
Mkuu tatizo hilo lipo hata huku chini utaona Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa ndiye Mwenyekiti wa CCM wilaya.................ni shida sana..............hakuna wa kumkosoa......!!!
 
Katika muundo mpya wa CCM ya awamu ya tano, tumeamua tuwe na CCM mpya ambayo ni CCM mabadiliko sio yale mabadiliko ya kuzungusha Mikono ya waru fulani.

CCM hii tunataka mtu mmoja awe na cheo kimoja. Na hilo tumefanikiwa kuanza ngazi za chini kwenye uchaguzi ulioisha wa ndani ya chama.

Sifa ya Sheria ni msumeno hukata hukata huku na huku, sasa ni zamu ya ngazi ya Kitaifa, tunataka kuona Kofia moja.

Sisi wananchi tunaomba Viongozi wetu wawe mfano wa kuonesha kwa vitendo dhana ya Kofia moja.

CCM tunaongea kwa Vitendo na rais wetu ni mtu sikivu

Naomba kila Mwanaccm ulipo, tukazanie hili swala la haki ndani ya chama

Namshukiru sana Mzee wetu M/mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa, yeye kashauri kuangaliwa upya kwa utaratibu wa kupokezana vijiti katika uongozi wa juu wa CCM.

Hii Kampeni iwe ya nyumba kwa nyumba.

Mheshimiwa Bulembo kashatimiza kauli yetu ya Kofia moja. Kaonesha njia.

Uwenyekiti wa chama apewe Mangula au Kinana. Hii itasaidia kumbana mwenyekiti wetu wa chama tofauti na sasa. Ukimuuliza swali la chama anajificha kwenye kivuli cha Urais.

Kuondoka kwa Nyalandu itufumbue Macho umuhimu wa Kofia moja.

Nyalandu katuachia pengo japo tunajitutumua kwamba aende tu. Mwanaccm mwenzetu B. Membe alilizungumzia hili na kusema "Lazaro Nyalandu anaweza kubezwa, kutukanwa na kudharauliwa. Lakini ametuachia ujumbe mzito. Busara inataka tutafakari hoja zake.Tusipuuze!"

Ni wakati wa Kofia moja. Hii ya kufukuza watu bila kuwahoji wala kuwapa barua sio desturi ya chama chetu pendwa CCM.

Kumbukeni pale dodoma tulifanyia mabadiliko Katiba yetu na kuamua kupitisha mabadiliko makubwa ya katiba, ambayo yanapunguza idadi ya wajumbe katika vikao vya juu na pia kupunguza kofia za uongozi mwanachama mwenye cheo ndani ya chama, ubunge au serikalini.

Mabadiliko hayo yalipendekezwa na Halmashauri Kuu ya CCM, iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam Desemba 13 mwaka jana.

Mabadiliko hayo yalitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM aliyemaliza muda wake, Nape Nnauye kwamba muundo wa chama umebadilika na mwanachama anatakiwa kuwa na nafasi moja tu ya uongozi wa kazi za muda wote kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni za Uchaguzi wa CCM, Toleo la 2012, Kifungu cha 22 na 23.

Tunaomba Daktari, Profesa, Mheshimiwa, Mwenyekiti wa CCM Rais John Pombe Magufuli ajiweke pembeni kama katiba inavyotaka.

Si rahisi kutumikia mabwana wawili. Tumekaa kimya sana lakini tunaona hakuna kinachoendelea kuhusu Kofia moja. Kuendelea kuwa na Kofia tatu ni kuvunja katiba.

Tutailinda katiba ya CCM kwa nguvu zote. Na hili wanaccm tunaungana.
Mkuu hata Mwita Waitara ana kofia mbili, ni mbunge wa Ukonga na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa maeneo ya kitunda, so kofia 2 haziepukiki!
 
Mkuu hata Mwita Waitara ana kofia mbili, ni mbunge wa Ukonga na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa maeneo ya kitunda, so kofia 2 haziepukiki!
Hayo mambo hayatuhusu sisi. CCM tumefanyia mabadiliko katiba yetu. Na Viongozi wote wana kofia moja kwenye nafasi za kuchaguliwa.
 
Katika muundo mpya wa CCM ya awamu ya tano, tumeamua tuwe na CCM mpya ambayo ni CCM mabadiliko sio yale mabadiliko ya kuzungusha Mikono ya waru fulani.

CCM hii tunataka mtu mmoja awe na cheo kimoja. Na hilo tumefanikiwa kuanza ngazi za chini kwenye uchaguzi ulioisha wa ndani ya chama.

Sifa ya Sheria ni msumeno hukata hukata huku na huku, sasa ni zamu ya ngazi ya Kitaifa, tunataka kuona Kofia moja.

Sisi wananchi tunaomba Viongozi wetu wawe mfano wa kuonesha kwa vitendo dhana ya Kofia moja.

CCM tunaongea kwa Vitendo na rais wetu ni mtu sikivu

Naomba kila Mwanaccm ulipo, tukazanie hili swala la haki ndani ya chama

Namshukiru sana Mzee wetu M/mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa, yeye kashauri kuangaliwa upya kwa utaratibu wa kupokezana vijiti katika uongozi wa juu wa CCM.

Hii Kampeni iwe ya nyumba kwa nyumba.

Mheshimiwa Bulembo kashatimiza kauli yetu ya Kofia moja. Kaonesha njia.

Uwenyekiti wa chama apewe Mangula au Kinana. Hii itasaidia kumbana mwenyekiti wetu wa chama tofauti na sasa. Ukimuuliza swali la chama anajificha kwenye kivuli cha Urais.

Kuondoka kwa Nyalandu itufumbue Macho umuhimu wa Kofia moja.

Nyalandu katuachia pengo japo tunajitutumua kwamba aende tu. Mwanaccm mwenzetu B. Membe alilizungumzia hili na kusema "Lazaro Nyalandu anaweza kubezwa, kutukanwa na kudharauliwa. Lakini ametuachia ujumbe mzito. Busara inataka tutafakari hoja zake.Tusipuuze!"

Ni wakati wa Kofia moja. Hii ya kufukuza watu bila kuwahoji wala kuwapa barua sio desturi ya chama chetu pendwa CCM.

Kumbukeni pale dodoma tulifanyia mabadiliko Katiba yetu na kuamua kupitisha mabadiliko makubwa ya katiba, ambayo yanapunguza idadi ya wajumbe katika vikao vya juu na pia kupunguza kofia za uongozi mwanachama mwenye cheo ndani ya chama, ubunge au serikalini.

Mabadiliko hayo yalipendekezwa na Halmashauri Kuu ya CCM, iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam Desemba 13 mwaka jana.

Mabadiliko hayo yalitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM aliyemaliza muda wake, Nape Nnauye kwamba muundo wa chama umebadilika na mwanachama anatakiwa kuwa na nafasi moja tu ya uongozi wa kazi za muda wote kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni za Uchaguzi wa CCM, Toleo la 2012, Kifungu cha 22 na 23.

Tunaomba Daktari, Profesa, Mheshimiwa, Mwenyekiti wa CCM Rais John Pombe Magufuli ajiweke pembeni kama katiba inavyotaka.

Si rahisi kutumikia mabwana wawili. Tumekaa kimya sana lakini tunaona hakuna kinachoendelea kuhusu Kofia moja. Kuendelea kuwa na Kofia tatu ni kuvunja katiba.

Tutailinda katiba ya CCM kwa nguvu zote. Na hili wanaccm tunaungana.
Wana CCM hawataki mgongano wa Kimaslahi. Mwenyekiti Fisadi na Rais asiye fisadi. Rais John Pombe Magufuli aendelee kushika nyadhifa zote
 
Nitajie kiongozi mmoja tu wa CCM mwenye kofia moja!
Wapo wengi, katika Uchaguzi ulipmalizika hakuna kiongozi hata mmoja mwenye kofia mbili. Hayupo labda umseme wewe. Taja hata mbunge mwenye kofia mbili Serikali na chama. Hata tume ya maadili hairuhusu. Mtu mwenye kulipwa mshahara na Serikali afanye kazi za chama.
 
Back
Top Bottom