Safi kabisa wanaccm. Tukiwaambia watu hapa kuwa Kikwete na wanaccm wanafanya kazi ya kuendeleza nchi, wapinzani wanapinga. Sasa wataona vitendo.
Ongera Mkuu lakini umeisha sikia tena leo bungeni? peruzi peruzi utapata kinachoendelea Serengeti. nafikiri pia umepata kinachoendelea kwenye madini. Nafikiri unatakiwa kuedit ujumbe wako sehemu fulani.
Ongera Mkuu lakini umeisha sikia tena leo bungeni? peruzi peruzi utapata kinachoendelea Serengeti. nafikiri pia umepata kinachoendelea kwenye madini. Nafikiri unatakiwa kuedit ujumbe wako sehemu fulani.
kakindomaster,
haya yote ni mambo ya uzushi tu kwa Kikwete. Kuna wabunge bado wana kambi za uchaguzi wa 2005 na hawataki kuziacha. Kikwete amekuwa Rais kwa hiyo wakubali tu matokeo na kujenga nchi.
...ufisadi wake alipokuwa NSSF ulikuwa wa kizenji.bwana weye hebu tueleze ndio upi ufisadi wa kizenji?
Mkuu Wangu Halisi,
Hata wafagiaji wa lile jengo na Hotel could not believe it, I mean the man was so loved in the building and so harmless kwamba hata watoto wadogo mle jengoni wasingeweza kuamini, halafu jamaa all the time kama hayuko kazini ameutwika ugimbi, sasa atapindua vipi serikali? Tulipaoiifutailia zaidi ile ishu huko kwa wakubwa tukaambiwa, hivi huwa hamumsikii akisema sema hovyo kuhusu serikali, Bayona, alipelekwa somewhere kisiwani for the next at least three to four years, siku alipotoka hatukuamini jinsi mkulu aliyekuwa na afya njema na jitu miraba minne halafu unajua jamaa alikuwa lightskinned hivi mweupee ukim-cheki kwa wasi wasi utadhani mtishi, wote tuliomuona tulilia machozi!
Mungu Aibariki Tanzania.
...................mwanahalisi la leo limeuhusisha moja kwa moja MTANDAWO wa kikwete 2005..moja kwa moja na wizi wote uliotokea kwenye EPA....hata wosia wa ballali...unatuhumu watu ambao ni wana mtandao na tayari unaaza kusambaa ...