Anawakilisha wabunge wenu Wa ndio...Adui mkubwa wa mwanamke ni.mwanamke.Huyo mbunge mwanamke hovyo kabisa
tunaomba picha ya huyo mbunge!!!
Mh. Mbunge yuko sawa kabisa, Ila wanafiki wa JF wote leo watajifanya kama kilichosemwa ni uongo.
Hivyo ndio vigezo vyetu, lakini ikifika kuajiri tunaiga vigezo vya ulaya. Mbona tunaoa matinginya hatutaki hivyo vyembamba?!Hahahahahahahaaa mzee baba umeniacha hoi et "matinginya"
Mvuto Wa nn kwani wanakwenda kufanya masaji
Ndio asili ya mtanzania tena hao warembo Mbunge alitaka makalolite labda
Kuna mambo yanasikitisha,
Yaan mbunge unasema jambo kama hilo bungeni kabsaaa....
Sisi ambao hatujawahi kupanda ndege ngoja tunyamaze.
Lkn mm naona huu n ubaguzi wazi wazi.
Huko kuna warembo gan , miguu kama njiwaWengi wa hao ma air hostess itakuwa ni wasukuma, maana wasukuma wana masura mabaya na hawana mvuto hata kidogo.
Ebu waende moshi wakachukue warembo kule
Yeye siyo Air hostess. Ingekuwa haina vigezo kila mtu angekuwa air hostess. Wenzetu anaangalia mpaka makovu na pia kama una tattoo wawakuajiri. Kuna kazi nyingine ziko very sensitive lakini sisi kila kitu siasa ndiyo tunapokwama. Tuki sahihishwa lazima tuje juu kama moto wa kifuu badala ya kukaa kimya na kutafakari kama kuna ukweli ndani yake tujirekebishe.Yeye mwenyewe Ana mvuto
Ova