Pre GE2025 CCM Moshi Mjini ina nini kipya cha kujivunia? 2025 watasema nini ili wachaguliwe tena?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kibosho1

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
2,617
4,291
Jimbo la Moshi Mjini imeongozwa na upinzani tangu kuanza kwa vyama vingi. Kutokana na itikadi hiyo rais wa awamu iliyopita Magufuli 2020 akaenda na kusema Moshi iko vilevile sababu ya kuongozwa na upinzani. (Niliamini kwa wakati huo) "chagueni ccm muone maendeleo" Haya Priscus Tarimo toka ccm akapewa kijiti mbona hakuna jipya.

Swali linakuja toka ccm imechukua jimbo hilo kuna nini kipya? Kuna mradi mpya, maendeleo tofauti na yaliyokuepo? Jibu ni hakuna.

Nilitegemea hata mradi uliokwama wa stendi ya Ngangamfumuni ingemaliziwa haraka wapate cha kupigia kampeni 2025 lakini hakuna dalili, ule mradi unaenda kuwa gofu sasa.

Uwanja wa majengo wameshindwa hata kuweka majukwaa? Je, 2025 itajivunia kiti gani kipya Moshi Mjini?
 
Jimbo la Moshi Mjini imeongozwa na upinzani tangu kuanza kwa vyama vingi. Kutokana na itikadi hiyo rais wa awamu iliyopita Magufuli 2020 akaenda na kusema Moshi iko vilevile sababu ya kuongozwa na upinzani. (Niliamini kwa wakati huo) "chagueni ccm muone maendeleo" Haya Priscus Tarimo toka ccm akapewa kijiti mbona hakuna jipya.

Swali linakuja toka ccm imechukua jimbo hilo kuna nini kipya? Kuna mradi mpya, maendeleo tofauti na yaliyokuepo? Jibu ni hakuna.

Nilitegemea hata mradi uliokwama wa stendi ya Ngangamfumuni ingemaliziwa haraka wapate cha kupigia kampeni 2025 lakini hakuna dalili, ule mradi unaenda kuwa gofu sasa.

Uwanja wa majengo wameshindwa hata kuweka majukwaa? Je, 2025 itajivunia kiti gani kipya Moshi Mjini?

Unavyoandika ni kama vile walipata hicho kiti kwa kura za Wananchi.

Hao wabunge wa Magufuri safari hii hawana chao.
 
Siasa za uchagani ni zakiwaki sana huwa hazina la maana zaidi ya upigaji

USSR
 
Ukiangalia jengo la stendi ya Moshi lililotelekezwa, na hasa baada ya kuwekeza pesa nyingi za walipa Kodi inasikitisha na kutia hasira sana..!

Kwa nini serikali itelekeze mradi ambao ulikuwa umepitishwa na kupangiwa bajeti?!
 
Ukiangalia jengo la stendi ya Moshi lililotelekezwa, na hasa baada ya kuwekeza pesa nyingi za walipa Kodi inasikitisha na kutia hasira sana..!

Kwa nini serikali itelekeze mradi ambao ulikuwa umepitishwa na kupangiwa bajeti?!
Inaumiza sana, ndio maana nasema 2025 watawaambia nini wananchi wa moshi Mjini, hakuna mradi wa kimkakati mkubwa hata mmoja.
 
Jimbo la Moshi Mjini imeongozwa na upinzani tangu kuanza kwa vyama vingi. Kutokana na itikadi hiyo rais wa awamu iliyopita Magufuli 2020 akaenda na kusema Moshi iko vilevile sababu ya kuongozwa na upinzani. (Niliamini kwa wakati huo) "chagueni ccm muone maendeleo" Haya Priscus Tarimo toka ccm akapewa kijiti mbona hakuna jipya.

Swali linakuja toka ccm imechukua jimbo hilo kuna nini kipya? Kuna mradi mpya, maendeleo tofauti na yaliyokuepo? Jibu ni hakuna.

Nilitegemea hata mradi uliokwama wa stendi ya Ngangamfumuni ingemaliziwa haraka wapate cha kupigia kampeni 2025 lakini hakuna dalili, ule mradi unaenda kuwa gofu sasa.

Uwanja wa majengo wameshindwa hata kuweka majukwaa? Je, 2025 itajivunia kiti gani kipya Moshi Mjini?
Kabisa hakuna chochote CCM wamefanya tangu 2015 hapo Moshi Mjini, waondoke!
 
Inaumiza sana, ndio maana nasema 2025 watawaambia nini wananchi wa moshi Mjini, hakuna mradi wa kimkakati mkubwa hata mmoja.
Aibu sana kwa serikali kumiliki magofu kama wananchi maskini badala ya kuonyesha mfano wa kukamilisha miradi kwa wakati...!
 
Jimbo la Moshi Mjini imeongozwa na upinzani tangu kuanza kwa vyama vingi. Kutokana na itikadi hiyo rais wa awamu iliyopita Magufuli 2020 akaenda na kusema Moshi iko vilevile sababu ya kuongozwa na upinzani. (Niliamini kwa wakati huo) "chagueni ccm muone maendeleo" Haya Priscus Tarimo toka ccm akapewa kijiti mbona hakuna jipya.

Swali linakuja toka ccm imechukua jimbo hilo kuna nini kipya? Kuna mradi mpya, maendeleo tofauti na yaliyokuepo? Jibu ni hakuna.

Nilitegemea hata mradi uliokwama wa stendi ya Ngangamfumuni ingemaliziwa haraka wapate cha kupigia kampeni 2025 lakini hakuna dalili, ule mradi unaenda kuwa gofu sasa.

Uwanja wa majengo wameshindwa hata kuweka majukwaa? Je, 2025 itajivunia kiti gani kipya Moshi Mjini?
Naomba futa kauli yako hakuna CCM Moshi. Asante
 
Jimbo la Moshi Mjini imeongozwa na upinzani tangu kuanza kwa vyama vingi. Kutokana na itikadi hiyo rais wa awamu iliyopita Magufuli 2020 akaenda na kusema Moshi iko vilevile sababu ya kuongozwa na upinzani. (Niliamini kwa wakati huo) "chagueni ccm muone maendeleo" Haya Priscus Tarimo toka ccm akapewa kijiti mbona hakuna jipya.

Swali linakuja toka ccm imechukua jimbo hilo kuna nini kipya? Kuna mradi mpya, maendeleo tofauti na yaliyokuepo? Jibu ni hakuna.

Nilitegemea hata mradi uliokwama wa stendi ya Ngangamfumuni ingemaliziwa haraka wapate cha kupigia kampeni 2025 lakini hakuna dalili, ule mradi unaenda kuwa gofu sasa.

Uwanja wa majengo wameshindwa hata kuweka majukwaa? Je, 2025 itajivunia kiti gani kipya Moshi Mjini?
Chadema mlikuwa hapo miaka kadhaa,Kuna kipi mlifanya?
 
Kwa Maafisa Elimu Kata zote, Wakuu wa Shule za Serikali za Msingi na Sekondari, Moshi Manispaa, Kilimanjaro

Mkurugenzi wa Manispaa, Mwajuma Nasombe, kwa mamlaka aliyonayo, anawataka watumishi wote kuchangia fedha kwa ajili ya "Get Together" ya Watumishi Wote wa Moshi Manispaa, ikiwa ni sherehe ya kuukaribisha Mwaka 2025. Sherehe hii itafanyika tarehe 01.02.2025.

Kiwango cha Kuchangia

Wakuu wa Idara na Vitengo, Waratibu Elimu Kata, Wakuu wa Shule za Sekondari, na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi: Tsh 50,000/-
Walimu Wote: Tsh 30,000/-
watumishi wengine: Tsh 20,000/-

Mwisho wa kuchangia ni siku ya 26.01.2025 bila kukosa.

Angalizo

Hata hivyo, ni muhimu kuwajulisha watumishi kuhusu baadhi ya masuala yanayohusiana na zoezi hili la kuchangia fedha:

1. Ushirikishwaji: Watumishi wengi hawajashirikishwa kabla ya tangazo hili. Ushirikishwaji wa awali ni muhimu ili kuhakikisha kuwa kila mmoja anafahamu lengo la michango hii.

2. Kamati ya Kuratibu: Hakuna kamati iliyoundwa kwa ajili ya kuratibu zoezi hili. Kukosekana kwa kamati kunaleta hofu miongoni mwa watumishi kuhusu matumizi ya fedha zao.

3. Muda wa Tangazo: Tangazo hili limetolewa muda mfupi sana, kuanzia tarehe 23.01.2025 na mwisho wa kuchangia ni tarehe 25.01.2025. Hii inapunguza nafasi ya watumishi kupanga na kujiandaa kwa michango yao.

4. Mshahara na Madeni: Watumishi wengi wamepokea mshahara wao na tayari wameshatumia kwa kulipa madeni wanayodaiwa. Hali hii inawafanya wengi kuwa na wasiwasi kuhusu kutoa michango zaidi.

5. Kujulishwa kwa Mkuu wa Wilaya: Mkuu wa Wilaya hajajulishwa kuhusu ukusanyaji huu wa fedha za michango, jambo ambalo ni muhimu ili kuweza kufuatilia matumizi ya fedha hizo.

6. *Kuchoshwa na Mkurugenzi:*Watumishi wengi wanasema wanachoshwa na mkurugenzi huyu, kwani mara kwa mara anaitisha michango. Wengi wanahisi kuwa huenda hii ni sehemu ya fedha za kampeni yake kuelekea kwenye uchaguzi wa ubunge.

Ombi

Kwa kuzingatia masuala haya, tunaomba zoezi hili lisitishwe hadi pale ambapo itakapofanyika mabadiliko yanayohitajika ili kuhakikisha kuwa watumishi wanashirikishwa ipasavyo na michango inakusanywa kwa njia ya uwazi na uaminifu.
Hii itasaidia kujenga uhusiano mzuri kati ya watumishi na uongozi wa manispaa.

Tunatumai kuwa maelezo haya yatasaidia katika kueleweka kwa sababu za kutokubali michango hii na kutafutwa kwa suluhisho la kudumu litakalowafaidi watumishi wote wa Moshi Manispaa.

Ahsanteni.
 
Back
Top Bottom