SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Juni 17, 2019 amemuwakilisha Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro Ndugu Innocent Kalogeris kufunga mafunzo elekezi ya siku tano ya kuwajengea uwezo viongozi wa CCM na jumuiya zake Wilaya ya Morogoro Mjini.
Mafunzo elekezi ya siku 5 yanalenga kuwajengea uwezo viongozi wa kata 29, matawi 92 na mabalozi 927 yameshirikisha watendaji wa Chama na jumuiya zake, wenyeviti wa Chama na jumuiya zake, makatibu wenezi wa kata na matawi pamoja na mabalozi wote wa Wilaya ya Morogoro Mjini.
Katika mafunzo hayo viongozi wote walikabidhiwa vitendea kazi ili kurahisha utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.
#UmojaNiUshindi2019
#MorogoroYaKijaniInawezekana #TuwePamoja
#TusikubaliKugawanyika
Mafunzo elekezi ya siku 5 yanalenga kuwajengea uwezo viongozi wa kata 29, matawi 92 na mabalozi 927 yameshirikisha watendaji wa Chama na jumuiya zake, wenyeviti wa Chama na jumuiya zake, makatibu wenezi wa kata na matawi pamoja na mabalozi wote wa Wilaya ya Morogoro Mjini.
Katika mafunzo hayo viongozi wote walikabidhiwa vitendea kazi ili kurahisha utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.
#UmojaNiUshindi2019
#MorogoroYaKijaniInawezekana #TuwePamoja
#TusikubaliKugawanyika