GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,398
CCM Morogoro achane siasa za kijinga zitawaaibisha na mtapoteza muelekeo.
Kitendo cha nyinyi kuwatafuta waganga wa kienyeji na kuwashawishi kwa kuwapa vijihela eti siku ya jumapili ya tarehe 22 wakutane na watoe tamko lao la kumuunga mkono JPM ni siasa za kitoto sana. Mmewaandaa waganga wa jadi kibao wengine hawana uelewa wowote na siasa mnatesa bila faida yoyote.
CCM Morogoro msizitumie njaa za watanzania vibaya. Pia achane siasa za kiboya za kutumia waganga wa kienyeji. PUMBAVU SANA
Kitendo cha nyinyi kuwatafuta waganga wa kienyeji na kuwashawishi kwa kuwapa vijihela eti siku ya jumapili ya tarehe 22 wakutane na watoe tamko lao la kumuunga mkono JPM ni siasa za kitoto sana. Mmewaandaa waganga wa jadi kibao wengine hawana uelewa wowote na siasa mnatesa bila faida yoyote.
CCM Morogoro msizitumie njaa za watanzania vibaya. Pia achane siasa za kiboya za kutumia waganga wa kienyeji. PUMBAVU SANA