CCM mnasema mafisadi wako CHADEMA, je hawa wanaopakua mabilioni kwenye Ripoti ya CAG ni chama gani?

Euphransia

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
937
778
CCM imekuwa inajinadi kuwa imejisafisha Na kwamba Mafisadi wote wako Chadema.Kwa Mujibu wa Ripoti ya CAG aliyomkabidhi Mh.Rais Na Spika wa Bunge imejaa Ufisadi mkubwa wa Kutisha.Miongoni mwa matukio ya Ufisadi ni
1.Lugumi kulipwa zaidi ya Bil.41
2.Misamaha ya kodi Kwa kuingiza Magari zaidi ya 200
3.Migodi kutokulipa kodi watendaji kula rushwa n.k.Matukio yote hayo ni Ufisadi najiuliza hao Mafisadi wanaokwapua Hela hizo nao wako Chadema?
 
CCM imekuwa inajinadi kuwa imejisafisha Na kwamba Mafisadi wote wako Chadema.Kwa Mujibu wa Ripoti ya CAG aliyomkabidhi Mh.Rais Na Spika wa Bunge imejaa Ufisadi mkubwa wa Kutisha.Miongoni mwa matukio ya Ufisadi ni
1.Lugumi kulipwa zaidi ya Bil.41
2.Misamaha ya kodi Kwa kuingiza Magari zaidi ya 200
3.Migodi kutokulipa kodi watendaji kula rushwa n.k.Matukio yote hayo ni Ufisadi najiuliza hao Mafisadi wanaokwapua Hela hizo nao wako Chadema?
Ripoti ya CAG inaonesha kuwa, Halmashauri 3 za CHADEMA zimepata Hati chafu
 
Chadema ni kimbilio la hao mafisadi....ni kimbilio la wauza unga.....ni kimbilio la wakwepa kodi.

Kama huamini nitajie kiongozi mmoja tu wa CDM nikupe sifa yake
Naona hujashiba mkuu kaongeze kiporo kwanza maana ukiandikacho ni kichekesho, Sasa kama mmekaa nao mmeshindwa kuwafunga haya wametoka wameenda Chadema bado mmeshindwa kuwafunga hapa nani fisadi kama si wewe mwenyewe boss?
 
Kupata Hati chafu sio ufisadi inawezekana sababu ikawa utawala mbovu km.kutokufanya vikao vya madiwani Kwa ratiba issue ni ufisadi
 
CCM imekuwa inajinadi kuwa imejisafisha Na kwamba Mafisadi wote wako Chadema.Kwa Mujibu wa Ripoti ya CAG aliyomkabidhi Mh.Rais Na Spika wa Bunge imejaa Ufisadi mkubwa wa Kutisha.Miongoni mwa matukio ya Ufisadi ni
1.Lugumi kulipwa zaidi ya Bil.41
2.Misamaha ya kodi Kwa kuingiza Magari zaidi ya 200
3.Migodi kutokulipa kodi watendaji kula rushwa n.k.Matukio yote hayo ni Ufisadi najiuliza hao Mafisadi wanaokwapua Hela hizo nao wako Chadema?
Nyinyi mafisiem mbona hamjibu?
 
angalau hata ofisi za vyama zingeonesha hata hicho wanapokea kama ruzuku, hahahahaaaaaaaa siasa imekua biashara muzuri mno
 
Rais Magufuli toka ameingia madarakani anahangaika kuyatumbua Majipu bandarini, Traa kina sehemu utadhani kunguni yote ni Mafisadi,
 
Back
Top Bottom