MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
CCM kutetea wala rushwa wanyang'anyi mjaanza leo, kuna watu mmetokwa mapovu kuhusu Ole Sabaya kudai rushwa kwa nguvu kwa mfanyabiashara wa hoteli Kilimanjaro, hamna hata haya mnafunika madhambi msoyajua kutetea Rushwa? CCM gani hii? Bora JK alikua akisikia mambo haya anaagiza uchunguzi haraka na anachukua hatua.
Kwasababu ya ubishi usiokua na tija kwa taifa, Sasa tazameni ya mbunge wa Simanjiro(CCM)James Ole Millya anavyomtuhumu mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti kupokea Rushwa kwa Mwekezaji wa mgodi wa Tanzanite1-Mererani, Mnyeti naye anadai kua anao ushahidi wa James Ole Millya kutishia watu Bastola ili apewe Rushwa kwa nguvu. Hivi hii ni kweli awamu ya 5 inayojipsmbanua kupinga rushwa au ni utawala wa aina gani huu? Hii aibu ya viongozi wakubwa makada wa CCM kutuhumiana rushwa mbele ya wananchi bila huruma mchana kweupe,mtawaambia nini wananchi? Hii aibu mnaificha wapi?
Hivi hawa kina Dr Bashir Ally wanaozunguka nchi nzima kuwaambia wananchi kua awamu ya 5 imejipambanua kwa kukomesha vitendo vya rushwa hamuogopi Mungu? Haya malumbano ya Rushwa dhidi ya viongozi wakubwa kabisa makada wa CCM hamuoni kua yanawavua nguo mchana kweupe? Mnawadanganyia nini wananchi? Mteteeni Sabaya kwa kisingizio kua ni propaganda za kisiasa za Mbowe dhidi yake ili aondolewe Hai lakini Mungu hua sio wa kukebehiws.
Kwasababu ya ubishi usiokua na tija kwa taifa, Sasa tazameni ya mbunge wa Simanjiro(CCM)James Ole Millya anavyomtuhumu mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti kupokea Rushwa kwa Mwekezaji wa mgodi wa Tanzanite1-Mererani, Mnyeti naye anadai kua anao ushahidi wa James Ole Millya kutishia watu Bastola ili apewe Rushwa kwa nguvu. Hivi hii ni kweli awamu ya 5 inayojipsmbanua kupinga rushwa au ni utawala wa aina gani huu? Hii aibu ya viongozi wakubwa makada wa CCM kutuhumiana rushwa mbele ya wananchi bila huruma mchana kweupe,mtawaambia nini wananchi? Hii aibu mnaificha wapi?
Hivi hawa kina Dr Bashir Ally wanaozunguka nchi nzima kuwaambia wananchi kua awamu ya 5 imejipambanua kwa kukomesha vitendo vya rushwa hamuogopi Mungu? Haya malumbano ya Rushwa dhidi ya viongozi wakubwa kabisa makada wa CCM hamuoni kua yanawavua nguo mchana kweupe? Mnawadanganyia nini wananchi? Mteteeni Sabaya kwa kisingizio kua ni propaganda za kisiasa za Mbowe dhidi yake ili aondolewe Hai lakini Mungu hua sio wa kukebehiws.