KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Hata kama CDM ikishindwa chaguzi za madiwani itatokana na wengi kutokua na vitambulisho, kwasababu watakaopiga kura ni waliojiandikisha 2010?
Ikumbukwe kuna waliouza kadi zao, na wanajilaumu sasa, mfano Nakaya.
Kuna wale ambao kipindi icho umri wao haukuwaruhusu, lakini sasa wana hasira na nyie, lakini hawatapiga kura.
Kuna wale ambao kipindi kile hawakupiga kura, kwasababu 2010, walikua nje ya vituo vyao kikazi, na kimasomo.
Kuna wale ambao sasa wamepata elimu ya uraia na wamajua chama la kweli.
Je 2015, mtatoka?
Ikumbukwe kuna waliouza kadi zao, na wanajilaumu sasa, mfano Nakaya.
Kuna wale ambao kipindi icho umri wao haukuwaruhusu, lakini sasa wana hasira na nyie, lakini hawatapiga kura.
Kuna wale ambao kipindi kile hawakupiga kura, kwasababu 2010, walikua nje ya vituo vyao kikazi, na kimasomo.
Kuna wale ambao sasa wamepata elimu ya uraia na wamajua chama la kweli.
Je 2015, mtatoka?