Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote.
Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM hata kama hakushinda, kuwateka au kuwafunga wagombea wa upinzani, kuwaondoa katika fomu za wagombea?
Kama ni gharama yoyote (nguvu au pesa), iwekeni katika kuboresha maisha ya wananchi. Mmefanya siasa miaka minne mfululizo peke yenu lakini bado mnawaogopa wapinzani?
Zitto amezuiliwa Kigoma, ila Bashiru anafanya mikutano halafu anajitapa kumng'oa Zitto. Haha haaaa VITUKO VYA MWAKA.
UNAPIGANA NA MTU ULIYEMFUNGA PINGU MWILI MZIMA HALAFU UNAJIONA MSHINDI...
Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM hata kama hakushinda, kuwateka au kuwafunga wagombea wa upinzani, kuwaondoa katika fomu za wagombea?
Kama ni gharama yoyote (nguvu au pesa), iwekeni katika kuboresha maisha ya wananchi. Mmefanya siasa miaka minne mfululizo peke yenu lakini bado mnawaogopa wapinzani?
Zitto amezuiliwa Kigoma, ila Bashiru anafanya mikutano halafu anajitapa kumng'oa Zitto. Haha haaaa VITUKO VYA MWAKA.
UNAPIGANA NA MTU ULIYEMFUNGA PINGU MWILI MZIMA HALAFU UNAJIONA MSHINDI...