coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 2,919
- 1,968
Sahihi kabisa
Azimio la Arusha watu walianza kufungia Vitumbua Nyerere akiwa hai wakati mwenyewe anakwambia kila akirudia kulisoma haoni pa kurekebisba walau koma
Jakaya kazomewa kwny NEC ya mwisho akiwa bado Amiri jeshi
Ccm ni chama cha aina yake sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hit direct to the Ntonku