pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Unapokuwa na utapia mlo wa akili haishangazi kuandika upuuzi kama huu.Africa nzima hakuna chama bora kama CCM kuna vyama kibao itabidi vijifunze sana.
Unapokuwa na utapia mlo wa akili haishangazi kuandika upuuzi kama huu.Africa nzima hakuna chama bora kama CCM kuna vyama kibao itabidi vijifunze sana.
Unasema kabisa eti kama kuna madudu au madudu tayari yapo kibao. Hivi ukiwa ccm akili huwa zinaenda wapi?Kwaio ungependa iendelee kulea ujinga kisa taito ya mtu. Hii ndio Safi hata huyu akimaliza muda wake Kama Kuna madudu alifanya ashatakiwe tu.
Naona umeandika kinyume, km una akili jiulize kwann ww na rais magufuli mnamchukia Mh tundu lissu na wapinzani kwa ujumla?Nimeangalia sana mwenendo wa CCM ya leo na viongozi ambao wana historia nzito sana katika CCM na Tanzania kwa ujumla, na kufikia muafaka kwamba safari ya CCM kwenda huko wanakojua wenyewe mwisho wake sio mzuri.
Tangu uongozi wa CCM ya sasa uingie madarakani umekorofishana na karibu viongozi wote ambao huko nyuma walikuwa ni watu wenye heshima zao kubwa sana ndani ya chama.
Nakumbuka hii ni kuanzia Kingunge, Nyalandu, Prof. Mwandosya, Makamba, Membe, na Kinana! Na hata wamekua wakimchokonoa sana Kikwete, wengine kudiriki kumkosea heshima kwa kauli kwamba hakuna alofanya kulinganisha na Magufuli - kauli ambazo tungetegemea zitoke kwa watu wa vyama vya upinzani.
Hivi katika uzito wa kisiasa wa mtu kama Kinana, Makamba, leo hii ungetarajia waitwe hadharani kuhojiwa na Kamati ya Nidhamu ya CCM? Na jambo moja kubwa, hivi hawa wazito wa zamani wa CCM wanakorofishana na CCM kama chama au kiongozi mmoja tu ambaye mkipishana kauli anataka ionekane ionekane umeikorofisha CCM yote?
Nyie CCM huko mnakokwenda, au kwa usahihi zaidi, huko mnakopelekwa mwisho wake sio mzuri. Mark my words.
Dogo umebalehe juzi, unwajua kaborou, arfi zito, kitila, kafulilila, mwigamba, machali, mwigamba, Mgwira, sumayeCCM haogopwi mtu tofauti na ukambale wa Chadema!
Mimi nahisi Membe,Kinana na Makamba wameitwa ili kuombwa msamaha kwa yaliyo wakuta.Wao walidhani wanamkomoa Mbowe na Lissu.
yaache yatafunaneNimeangalia sana mwenendo wa CCM ya leo na viongozi ambao wana historia nzito sana katika CCM na Tanzania kwa ujumla, na kufikia muafaka kwamba safari ya CCM kwenda huko wanakojua wenyewe mwisho wake sio mzuri.
Tangu uongozi wa CCM ya sasa uingie madarakani umekorofishana na karibu viongozi wote ambao huko nyuma walikuwa ni watu wenye heshima zao kubwa sana ndani ya chama.
Nakumbuka hii ni kuanzia Kingunge, Nyalandu, Prof. Mwandosya, Makamba, Membe, na Kinana! Na hata wamekua wakimchokonoa sana Kikwete, wengine kudiriki kumkosea heshima kwa kauli kwamba hakuna alofanya kulinganisha na Magufuli - kauli ambazo tungetegemea zitoke kwa watu wa vyama vya upinzani.
Hivi katika uzito wa kisiasa wa mtu kama Kinana, Makamba, leo hii ungetarajia waitwe hadharani kuhojiwa na Kamati ya Nidhamu ya CCM? Na jambo moja kubwa, hivi hawa wazito wa zamani wa CCM wanakorofishana na CCM kama chama au kiongozi mmoja tu ambaye mkipishana kauli anataka ionekane ionekane umeikorofisha CCM yote?
Nyie CCM huko mnakokwenda, au kwa usahihi zaidi, huko mnakopelekwa mwisho wake sio mzuri. Mark my words.
Membe jana kwenye kamati ya maadili!!!asante sana pohamba'Mimi sina ugomvi na Chama wala wana chama wenzangu, tatizo kuna Mtu anataka kufanya Ugomvi wangu na wake kuwa Ugomvi wangu na Chama na wanachama wenzangu'~ Fulani bin Fulani
'... Kwani nikitofautiana na Padri maana yake nmegombana na Kanisa?..'
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipo ccm sijui hata wanaopareti vipi mambo yao. Kifupi kwenye siasa mm ni shabiki tu.Unasema kabisa eti kama kuna madudu au madudu tayari yapo kibao. Hivi ukiwa ccm akili huwa zinaenda wapi?
Nimeangalia sana mwenendo wa CCM ya leo na viongozi ambao wana historia nzito sana katika CCM na Tanzania kwa ujumla, na kufikia muafaka kwamba safari ya CCM kwenda huko wanakojua wenyewe mwisho wake sio mzuri.
Tangu uongozi wa CCM ya sasa uingie madarakani umekorofishana na karibu viongozi wote ambao huko nyuma walikuwa ni watu wenye heshima zao kubwa sana ndani ya chama.
Nakumbuka hii ni kuanzia Kingunge, Nyalandu, Prof. Mwandosya, Makamba, Membe, na Kinana! Na hata wamekua wakimchokonoa sana Kikwete, wengine kudiriki kumkosea heshima kwa kauli kwamba hakuna alofanya kulinganisha na Magufuli - kauli ambazo tungetegemea zitoke kwa watu wa vyama vya upinzani.
Hivi katika uzito wa kisiasa wa mtu kama Kinana, Makamba, leo hii ungetarajia waitwe hadharani kuhojiwa na Kamati ya Nidhamu ya CCM? Na jambo moja kubwa, hivi hawa wazito wa zamani wa CCM wanakorofishana na CCM kama chama au kiongozi mmoja tu ambaye mkipishana kauli anataka ionekane ionekane umeikorofisha CCM yote?
Nyie CCM huko mnakokwenda, au kwa usahihi zaidi, huko mnakopelekwa mwisho wake sio mzuri. Mark my words.
Maneno yenu hayo hayo ya kejeli ndiyo yaliyomponza Bashite. Endeleeni.CCM haogopwi mtu tofauti na ukambale wa Chadema!
Nimeangalia sana mwenendo wa CCM ya leo na viongozi ambao wana historia nzito sana katika CCM na Tanzania kwa ujumla, na kufikia muafaka kwamba safari ya CCM kwenda huko wanakojua wenyewe mwisho wake sio mzuri.
Tangu uongozi wa CCM ya sasa uingie madarakani umekorofishana na karibu viongozi wote ambao huko nyuma walikuwa ni watu wenye heshima zao kubwa sana ndani ya chama.
Nakumbuka hii ni kuanzia Kingunge, Nyalandu, Prof. Mwandosya, Makamba, Membe, na Kinana! Na hata wamekua wakimchokonoa sana Kikwete, wengine kudiriki kumkosea heshima kwa kauli kwamba hakuna alofanya kulinganisha na Magufuli - kauli ambazo tungetegemea zitoke kwa watu wa vyama vya upinzani.
Hivi katika uzito wa kisiasa wa mtu kama Kinana, Makamba, leo hii ungetarajia waitwe hadharani kuhojiwa na Kamati ya Nidhamu ya CCM? Na jambo moja kubwa, hivi hawa wazito wa zamani wa CCM wanakorofishana na CCM kama chama au kiongozi mmoja tu ambaye mkipishana kauli anataka ionekane ionekane umeikorofisha CCM yote?
Nyie CCM huko mnakokwenda, au kwa usahihi zaidi, huko mnakopelekwa mwisho wake sio mzuri. Mark my words.
Kweli mnadiriki kuwadhalilisha Kinana na Makamba hadharani kwa kisingizio kwamba chama ni cha umma? Kosa lao nini hasa, Magufuli kutopendezwa na mawasiliano yao ya simu? Mwambieni Magufuli amalizane nao.Anayetaka heshima kwenye chama atengeneze chake nyumbani, lakini chama cha umma kinatakiwa kuwa na heshima zaidi kuliko mtu, watu wafate misingi hiyo, sio misingi ndo ifate watu.
Na Matokeo? Ilibidi apotezewe sivyo? Mmenogewa na hako kamchezo eeh!
Hata kama ni hivyo si sawa. Huwezi kutaka kuniomba msamaha kwa namna ya kutaka kunidhalilisha na kujificha katika kuomba kwako msamaha. Basi CCM weseme wazi tunawaomba waje ili tuwaombe msahama. Yaani unatoa amri ya kuniita ili uniombe msamaha? Huo ni unafiki.Mimi nahisi Membe,Kinana na Makamba wameitwa ili kuombwa msamaha kwa yaliyo wakuta.
Nimefurahi sana,amesikika Membe.
Mimi namchukia Tundu Lisu na wapinzani? Umelitoa wapi hilo. Mimi nawapenda wote, CCM na wapinzani na nachua wote wana sehemu muhimu katika maendeleo ya Tanzania.Naona umeandika kinyume, km una akili jiulize kwann ww na rais magufuli mnamchukia Mh tundu lissu na wapinzani kwa ujumla?
"Think big"Aliwakosea nn?
Naona kama wamegoma. Kama wamegoma nawaungfa mkono asilimia 100. Wasikubali udhalilishaji huu wa rejareja. CCM sio mama wala baba yao. Hata Kingunge alijitoa pamoja na kuwa na damu ya kijani na ubongo wa njano!Hivi Makamba na Kinana wameshafika mbele ya Kamati ya nidhamu? Tumemuona Membe tu akiingia na kisha akatoka na kuongea kidogo na wanahabari
Nikatika fkra za kiutani tu.Hata kama ni hivyo si sawa. Huwezi kutaka kuniomba msamaha kwa namna ya kutaka kunidhalilisha na kujificha katika kuomba kwako msamaha. Basi CCM weseme wazi tunawaomba waje ili tuwaombe msahama. Yaani unatoa amri ya kuniita ili uniombe msamaha? Huo ni unafiki.