CCM mmevuliwa nguo, kubali kuchutama

Unapomuona mtu anayekutuhumu kwa maovu uliyonayo, bila kuangalia mazuri uliyonayo, hali ya kuwa yeye anajiona hana maovu ni dhahiri mtu huyo anachokitafuta ni faida binafsi
Hebu tuambie faida alio ileta huyo jiwe.
 
Katika majira kama haya, Mungu anaenda kumfuta Freeman Mboye machozi..! Huyu kaka ameteseka sana, amefilisiwa mali yake yote, mazao ya shambani kwao yamengolewa, ametafutiwa kesi za kila aina, amefungwa mahabusu mara nyingi, ameshambuliwa na kuumizwa vibaya, amepata vitisho vya kila aina na sasa wanataka kuuza nyumba ya ukoo wao. Cha ajabu, hata tetereka ameyabeba machungu yote kwa gharama ya uhai wake. SASA MUNGU AMKUU AMEONA HAYO YOTE NA ANAENDA KUMFUTA MACHOZI PAMOJA NA WATANZANIA WENGI WALIOPITIA MADHILA KAMA HAYO
 
Nchi inaendeshwa kwa hisia za mtu mmoja na sio kitaasisi kama inavyotakiwa!
Budget na vipau mbele vya taifa ni kama atakavyo mtu na sio Bunge la ndugai ambalo limekuwa la hovyo kabisa!
Hata chama cha ccm kinachotakiwa kusimamia serikali hakitajwi tena na badala yake anatajwa mtu! 🤣
 
CCM wanajaribu kuficha uchi wao kwa majani ya mti bila kuelewa kuwa jua likiwaka hayo majani yatanyauka na uchi wao utaonekana.

Kosa kubwa sana mlilofanya ni mtindo wa kuendeasha siasa zenu kibabe; mliwanyanyasa washindani wenu kwa kiwango cha hali ya juu mkidhani kuwa Watanzania walikuwa hawayaoni hayo mnayoyafanya.

Mkaendesha nchi hii kwa kuvunja Katiba huku mkidhani wananchi ni vipofu na hawayaoni hayo mnayotenda.

Mkawa na kiburi cha kujiamulia mambo makubwa yanayohusu nchi yetu bila ya kufuata taratibu ambazo zimewekwa kwa mujibu wa Sheria.

Leo nkiambiwa ukweli mnakimbilia kutoa kauli na madai kuwa hizo shutma ni kauli za kichochezi. Hivi mnadhani watanzania wa leo bado hawajui kupambanua kati ya kauli za kweli na za kichochezi? Kubalini tu kuwa umefika wakati sasa mvune faida ya maovu yenu.

Washindani wenu wamewavua nguo msijaribu kuwakimbiza aibu ya uchi wenu itazidi kuonekana. Ni bora nkubali kuchutama ili mambo haya yaishe.
Ccm kimewafanyia watz mema mengi sana
 
Aiseee Tundu lissu kairudisha chadema kwenye ramani, kibaya zaid kaweka CCM kwenye defensive mode hahahah yani ndani ya week tu upepo umebadilika.
 
watumishi wa uma binafsi na serikalini hawazidi 2.5ml. wafanya biashara wenye hasira nchi hii hawazidi 2.5ml.

kati yao hapo wote hatujajua wasioa na kadi ni wangapi? wafuasi wa pole pole, ACT, CUF ni wangapi?

Mtaji wa cdm ni vijana wa chuo wasio na ajira, waliokosa mikopo, walifukuzwa kwa vyeti feki, waliovunjiwa nyumba kimara nk. wekezeni nguvu huko ndio kuna uhakika.

Sasa bahati mbaya mgombea wenu anamparua Magufuli na kuacha kuwaandaa wapiga kula ni nini amewaandalia endapo atashinda. akidhani kila mtu anajua yeye alivuliwa ubunge na ndugai amuonee huruma.

Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Kwani kampeni zimeshaanza? Ngojeni tutawavua nguo mchana kweupeeeeee
 
Yaani Rais wa nchi anasimama hadharani huku anatafuta Mhindi kishamba anamwambia mama wa kitanzania eti "unataka upanuliwe wapi? " anarudia zaidi ya mara tatu maneno ya aibu na udharirishaji hayo!!

Ndio na akili zangu timamu nikampigie kura kiongozi wa hovyo namna hiyo?
Sijui hata ualimu aliupataje uyo jamaa. Raisi ana maneno machafu kama makondakta wa stendi au vijana wahuni wa vijiweni
 
Yaani Rais wa nchi anasimama hadharani huku anatafuta Mhindi kishamba anamwambia mama wa kitanzania eti "unataka upanuliwe wapi? " anarudia zaidi ya mara tatu maneno ya aibu na udharirishaji hayo!!

Ndio na akili zangu timamu nikampigie kura kiongozi wa hovyo namna hiyo?
Aisee😂
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom