MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
CCM wanaendelea na mbinu zao zilezile walizotumia miaka kadhaa iliyopita ,kama kutumia watu walewale kwenye mikutano zaidi ya mitano tofauti ili waonekane wana mafuriko wakati kihalisia wanachofanya ni 'drip irrigation',kuendelea kuwalipa watu wanaoudhuria mikutano,kutumia wanafunzi ambao wengi wao hata miaka 14 hawajafikisha na kutumia hela nyingi kuwalipa wasanii.
Swali langu ni je hawa wazee wa Lumumba wanajua kweli hii kauli huku mitaani ya KULA CCM LAKINI KURA UKAWA?
Swali langu ni je hawa wazee wa Lumumba wanajua kweli hii kauli huku mitaani ya KULA CCM LAKINI KURA UKAWA?