technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
- Thread starter
- #41
ExactlyMafisadi watashindwa tu, Mungu aliyetupatia JMP ndiye yuleyule atakayempa JPM uenyekiti na hapo ndo mipango ya Mungu itatimia juu ya nchi hii ya Tz
ExactlyMafisadi watashindwa tu, Mungu aliyetupatia JMP ndiye yuleyule atakayempa JPM uenyekiti na hapo ndo mipango ya Mungu itatimia juu ya nchi hii ya Tz
Ndo nini??.....
.....Babeli
Hebu tueleze wewe unayeijua katiba yenu ya ccm vizuri kabisa.Unaijua katiba ya ccm weye?
ExactlyHawana ujanja naamini ni chaguo la MUNGU hata wahangaike vipi hawamuwezi
Ccm aiwez Fanya yanayoendelea CCM bHebu tueleze wewe unayeijua katiba yenu ya ccm vizuri kabisa.
PoaWameshamtungia na wimbo wa kumpea kiti mnamo masaa 120 yajayo. Mrefu huo kama treni ya mwakyembe
huyo mnaye mtaka awe mwenyekiti si ndio amesema hataki kuona mtu mmoja anakuwa na vyeo zaidi ya kimoja? yeye ni Mkubwa wa nchi basi ukubwa wa chama apewew mkijani mwingine! sasa hapa mnatetea asichotaka?Unaijua katiba ya ccm weye?
We nawe mshauri wa raisi unaandika haraka hadi unakoseakosea!Juzi nilikuja hapa na kuelezea jinsi ya mbinu chafu upangwa !!! Kwa kutumia picha!!
Mbinu chafu upangwa na watu walele unaowaamini na kutembea nao kifua mbele !!!!
Leo hii mafisadi wana nguvu mpaka wamefikia kutaka kuhuju taarifa nzuri zinazompa taathari rais wa nchi Kichukua taadhari zaidi juu ya usalama wake ??
Mimi kama mwanachi wa kawaida kabisa siwezi kukubali kabisa ninayoyaona never never ukweli utabaki kuwa ukweli tu daima!!!
Yaani mnapanga kumkwamisha Rais asiwe mwenyekiti wa chama ili mumkata 2020?? Nani awe mwenyekiti sasa??
Mafisadi?? Au!!!
kweli mafisadi ya nchi hii kuna kazi sana
Sina haja ya kumtaja mtu yeyote anayeusika na mpangoo huu!!!!
Lakini lazima ukweli usemwe Kwa sababu Wanaotaka kumkwamisha rais asiwe mwenyekiti tunawaangalia tu kila siku wakizunguka mitandaoni uku wakiwa hawana hoja ya msingi kwanini hawataki ??
Wengi wao ni mafisadi
Au wanafadhiriwa na mafisadi mfano Benson Bana!!
Waliozoea kuishi na kupewa vya bure kupitia Mgogo wa Ccm!!
Kwa sababu nilileta Uzi hapa watu wakanishambulia bila kujua kwanini nilete vile na why??
Uzi ulikaa hivi
"" Magufuli chunga chupa za maji kuelekea Dodoma July 23" """
Lakini kwa vile mafisadi wana nguvu hata Uzi Uo uliondolewa baada ya masaa10 nilishangaa sana kuona jambo lile ina maana mafisadi tumewachekea mpaka wamefikia kuujumu Uhuru wa habari????
Leo hii lizabona anakuja na kuwasema wazi wazi wanaomuhujumu Rais watu wanamshambulia !!!
Hivi kweli mnajua maana ya hujuma??
Nibora mpinzani wako kwa hoja kuliko anayekuhujumu!!!
Lakini nawakumbusha kuwa hatuwezi kwenda kwa style hii ya kuhujumiana kama nchi lazima tuwe wawazi kama umpendi mtu toka hadharani mwambie kwamba wewe no !!
Sio kwa kujificha ficha na kukenua meno huku unanongona na kupanga mipamgo miovu ya kumhujumu mkuu wa nchi
Hilo hatutakubali hata kidogo!!
Ccm mkumbuke "" Rais ni amri jeshi mkuu """ mkumbuke kumuhujumu rais ni sawa na kuwaujumu waliomchagua!!!
Hakuna kitu kitashindikana kwenye ili never never lazima awe mwenyekiti!!!!
Au chama kisambalatike!!!
Toka lini chadema mkakosoana chamani???We nawe mshauri wa raisi unaandika haraka hadi unakoseakosea!
Kuita kupingwa hujuma ni sawa na kumuita mpinzani adui!
Katika siasa nafasi zote za uongozi wa juu kabisa kama mwenyekiti, Makamu na katibu huwa si nafasi za kuteuliwa! Often nafasi hizi hugombewa!
Kwa ccm mbovu, yenye awamu za zilizokuwa na mapungufu maraisi waliopita wakajiwekea nafasi ya upendeleo na kuminya katiba ya chama! Now tumepata raisi mchapakazi na anayependa kutenda haki, na mtenda haki ni mpenzi wa Mungu! Bila ya unafiki imeshajidhihirisha kuwa watanzania wanachama wa ccm hawaridhishwi na raisi kupewa uenyekiti Bali walitaka agombee, nadhani ktk misingi ya haki aongoze watanzania kugombea naye! Nadhani Shibuda kama sikosei alichukua fomu na kikwete kabla hajajitoa dk za mwisho!
Kuita wanaomchallenge raisi ni mafisadi au wametumwa hiyo ni hira tu ktk kufanikisha malengo yenu! Hapo ni kutia hofu wajumbe wasiseme waliyonayo mioyoni mwao!
Nadhani ccm muache siasa za woga, kama raisi atakuwa challenged na mtu mwingine jueni kuwa huko ndiko kukua kwa demokrasia! Wakati chadema ilipowatimua the so called wasaliti waliokuwa wanampinga mwenyekiti wao, ccm mlitumia kigezo hicho kusema kuwa huko hakuna demokrasia eti ni chama cha kifamilia! This time ya CHADEMA yamehamia kwenu mnaita watu mafisadi/wasaliti! Same propaganda za kuwarudisha nyuma wenye uthubutu!
Leo ndio unakumbuka kuwa kuna katiba ya chamakwani makufuri pekee ndio mwenye vigezo vya kua mwenyekiti? kama katiba ya chama inaruhusu mtu yeyote mwenye vigezo kugombea kwanini wasigombee?? kama hutaki kukubaliana na katiba ya chama jivue uanachama..!!
Figisu figisu!!!Leo ndio unakumbuka kuwa kuna katiba ya chama
Kumbe tatizo lako sio uandishi tu! hata usomaji wako hauko sawa!Toka lini chadema mkakosoana chamani???
Wewe nimekuelewa vizur sana kwanini ushauli Uo usiwape chadema??Kumbe tatizo lako sio uandishi tu! hata usomaji wako hauko sawa!
Hebu pitia tena maneno yangu halafu uone unachouliza umekitoa wapi!
Wanalumumba wanawindana Kwa manati usiku na mchana
Au nawewe upo kwenye mpango wa kumkwamisha ??Kiswahili lugha ya Taifa bado kikwazo.