commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Tarehe ilyozaliwa CCM ni sawa kabisa na tarehe ya kuzaliwa kwa azimio la arusha mwaka 1967.
Lakini cha kushangaza ni kwamba katika maadhimisho ya miaka 35 ya umri wa ccm hivi majuzi,kule jijini mza hatukumsikia kiongozi au kada yeyote akilitamka AZIMIO LA ARUSHA ambalo pia lilikuwa linatimiza miaka 45.
Je hiyo ilikuwa ni ishara ya ccm kuwa sasa chama cha kibepari ambacho kinawakumbatia mafisadi,na hivyo hawataki hata kulisikia azimio hilo kwa hofu ya kuwaamsha watanzania wanaoumia???
Source n professor kamata ndani ya kipima joto ITV jioni ya tarehe 10/02/20112
Lakini cha kushangaza ni kwamba katika maadhimisho ya miaka 35 ya umri wa ccm hivi majuzi,kule jijini mza hatukumsikia kiongozi au kada yeyote akilitamka AZIMIO LA ARUSHA ambalo pia lilikuwa linatimiza miaka 45.
Je hiyo ilikuwa ni ishara ya ccm kuwa sasa chama cha kibepari ambacho kinawakumbatia mafisadi,na hivyo hawataki hata kulisikia azimio hilo kwa hofu ya kuwaamsha watanzania wanaoumia???
Source n professor kamata ndani ya kipima joto ITV jioni ya tarehe 10/02/20112