CCM Maswa watuhumiana, wapeana uhamisho (source Nipashe)

silver25

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
743
44
BAADA ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, Chadema imeibuka kidedea kwa nafasi za ubunge katika majimbo mawili ya Maswa Mashariki na Maswa Magharibi Mkoa wa Shinyanga ,viongozi wa CCM wilayani humo wameanza kutimuana kwa madai kuwa wamekisaliti chama hicho.
Habari za kuaminika kutoka ndani ya chama hicho na kuthibitishwa na mmoja wa viongozi wa CCM wilayani humo, zilisema kuwa tayari Katibu wa Umoja wa Wanawake (UWT) Wilaya ya Maswa,Nuru Mselemo ametimuliwa kwa madai ya kukiunga mkono Chadema wakati wa uchaguzi.

Source Nipashe 5 November2010
 
Back
Top Bottom