propagandist
Member
- Aug 12, 2011
- 93
- 9
Hii ni kauli mbiu inayotumiwa na wanachama na wapenzi wa chama hicho katika uchaguzi mdogo wa igunga, ni kauli inayoonesha kutumia ubabe, na je? inawezekana aje kuwapo Mashine inayosaga na kukoboa? badala ya "kukoboa na kusaga"