Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema makada na wanachama wa chama hicho wanaoonyesha nia ya kutaka kuwania udiwani, ubunge na urais katika Uchaguzi Mkuu ujao bila kufuata taratibu, majina yao yatakatwa "Hata kama watapata kura nyingi za maoni zinazofika mbinguni."
Kinana ameziagiza kamati za siasa za wilaya na mikoa yote nchini kuhakikisha zinafanya vikao na kuandika taarifa za watu wanaowavuruga wabunge au madiwani waliopo madarakani kwa kufanya mikutano ya siasa bila kufuata taratibu za chama na taarifa zao zipelekwe makao makuu ya CCM.
Kinana ameziagiza kamati za siasa za wilaya na mikoa yote nchini kuhakikisha zinafanya vikao na kuandika taarifa za watu wanaowavuruga wabunge au madiwani waliopo madarakani kwa kufanya mikutano ya siasa bila kufuata taratibu za chama na taarifa zao zipelekwe makao makuu ya CCM. Mangula alisema: "Ni mwiko kwa kiongozi au mwanachama yeyote wa CCM kuunda vikundi visivyo rasmi ndani ya chama au kushiriki katika kampeni za uchaguzi za chinichini kinyume na ratiba ya uchaguzi na taratibu rasmi zilizowekwa." Source: Mwananchi Jumatano
Kinana ameziagiza kamati za siasa za wilaya na mikoa yote nchini kuhakikisha zinafanya vikao na kuandika taarifa za watu wanaowavuruga wabunge au madiwani waliopo madarakani kwa kufanya mikutano ya siasa bila kufuata taratibu za chama na taarifa zao zipelekwe makao makuu ya CCM.
Kinana ameziagiza kamati za siasa za wilaya na mikoa yote nchini kuhakikisha zinafanya vikao na kuandika taarifa za watu wanaowavuruga wabunge au madiwani waliopo madarakani kwa kufanya mikutano ya siasa bila kufuata taratibu za chama na taarifa zao zipelekwe makao makuu ya CCM. Mangula alisema: "Ni mwiko kwa kiongozi au mwanachama yeyote wa CCM kuunda vikundi visivyo rasmi ndani ya chama au kushiriki katika kampeni za uchaguzi za chinichini kinyume na ratiba ya uchaguzi na taratibu rasmi zilizowekwa." Source: Mwananchi Jumatano