We Topical nini wewe? Nyerere alilizungumzia hilo kabla hata ya Kolimba. Ninayo hotuba kwenye cd unabisha bure. Hata ukisikiliza hotuba aliyoitoa Singida mwaka 1986 alianza kuzungumzia ukosefu wa mwelekeo ndani ya CCM, na hii ilikuwa kabla ya azimio la Zanzibar.Aliyezungumzia ukosefu wa dira si nyerere bana ni Kolimba wewe kila kitu nyerere aisee..
Kweli mabadiliko haya yalitakiwa yaanze enzi za kolimba wameahirisha hadi leo, lakini ni vizuri kwa nchi yetu wacha vyama vya upinzani navyo vikue..ccm ikiwa very powefull ni hatari kwa Taifa..