johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,414
Mwenyekiti wa kamati ya maadili ya wabunge wa CCM amesema wamewahoji wabunge watatu ambao ni Komredi Polepole, askofu Gwajima na Jerry Slaa
Amesema ni utaratibu wa chama kurudishana kwenye mstari pale mmoja wao anapokengeuka.
Kwa mfano Polepole makosa yake siyo makubwa bali ni kushabikis msimamo wa askofu Gwajima kupitia mitandaoni.
Hivyo tumejadiliana ili kurudishana kwenye mstari, amesema.
Source: ITV habari!
Amesema ni utaratibu wa chama kurudishana kwenye mstari pale mmoja wao anapokengeuka.
Kwa mfano Polepole makosa yake siyo makubwa bali ni kushabikis msimamo wa askofu Gwajima kupitia mitandaoni.
Hivyo tumejadiliana ili kurudishana kwenye mstari, amesema.
Source: ITV habari!