CCM Madarakani: Sababu za kuitoa, ugumu wake na mbinu mbadala za kuing'oa

How sure ur it wil take those yearz? where is KANU? We hujui siasa ukae kimyaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ukitaka kufananisha na KANU unachemka kaka, maana hiyo ikija Tanzania maana Kikwete, Dr Bilal, Mizengo na wengine wote wajiunge CHADEMA ili kuiua CCM!! Do u think itawezekana????
 
CCM hata waharibu vipi tayari washajua cha kufanya ili mijitu iwapigie makofi ya hongera. Itisha mkutano sijui wa kamati kuu au sijui halmashauri kuu, tamka vijineno vyenye mshiko, tayari Watanzania are sold on it.
 
Vizuri mmetanabahi!
Mmeona pongezi zinavyotolewa humu JF sio?
Hili si la kushangaza sana, wengi humu tunaendeshwa na hisia( emotions), mhwemko na ushabiki zaidi badala ya fikra tulivu na tafakuri.

Wengine wanasema CCM hali mbaya,...sisi wananchi ndio wenye hali mbaya.
CCM kazi yao,ambayo kwa kweli wanaifanya kwa uweledi ni kupanga jinsi ya vipi "watawa-screw" watanzania. pamoja na vyama vya upinzani.

Any way..Rais Mwinyi aliwahi kusema kuwa "watanzania tusikubali kufanywa kichwa cha mwendazimu" lakini inaelekea hatukumfahamu.

Nimebaki mdomo wazi kwa kuona pongezi zikimiminika kwa Mkulu na CCM....Kazi kweli kweli!

Watu wameshituka na hao walioonekana kuwa watakuwa mbadala wa CCM!
 
Mzeewahoja ni kweli wamejivua gamba? Umeisha sahau uchaguzi mkuu wa mwaka jana ulivyogubikwa na utoaji rushwa na hongo kwa wapiga kura? Ndugu yangu watu safi huko ni wa kuhesabu!


Bahati mbaya waliokuwa wakipokea rushwa ni wananchi na kutokana na hali mbaya ya maisha wakati wa uchaguzi wanaona ni wakati wa mavuno. Kwa mtaji huo CCM wataendelea kupeta.
 
Mkuu ccm safari inawahusu na wenyewe wanatambua hili ndio maana wamewatusi wapiga kura wa vijijini kuwa ndio walio walenga wakiamini mjini watu wanauelewa zaidi kwa hiyo wanawahi vijijini wasikomjua R.A et...kwaa kifupi miaka 100 ni mingi sana ccm mwendao
 
CCM is in power to stay. They have a super majority in parliament and will continue to have it for a very long time. Given their significant majority, they will probably pass either a new constitution that favors them in a lot of ways or they will amend the current one to ensure it safeguards their short term and long term interests.
 
Baada ya jk kumaliza vikao vyao na eti kujinadi kujivua gamba. inaonekana watz kuridhishwa na tukio hilo.
Tofauti kabisa na znz, wakisema no, hata aje nani, wafanye nini ccm NO, NO CCM.
tofauti na tz bara.
tungoje vitukuu vyetu vitusaidie kuingoa ccm, sio sisi

Mijitu mingine kwa kupenda kujipendekeza bwana mwananchi amekwambia ameridhika na hilo tukio au ni wewe mwenyewe na vibaraka wenzio.
 
Baada ya jk kumaliza vikao vyao na eti kujinadi kujivua gamba. inaonekana watz kuridhishwa na tukio hilo.
Tofauti kabisa na znz, wakisema no, hata aje nani, wafanye nini ccm NO, NO CCM.
tofauti na tz bara.
tungoje vitukuu vyetu vitusaidie kuingoa ccm, sio sisi

Jivue gamba mkuu.
 
Mimi nipo kidogo tofauti na hao wanaosema mika 100.
Sababu chache ni hizi hapa:
  1. CCM imekuwa ikishinda kwa kutumia rushwa na ufisadi. Wanachama wake wa ngazi ya juu wenye vyeo vya juu karibia asilimia kubwa ni matajiri na mafisadi.
  2. Mafisadi ndiyo wanaofund campaign za CCM
  3. CCM inatumia njia za kifisadi kupata fedha za campaign pamoja na kutumia mali za Watanzania wote kujineemesha yenyewe. Mali zote za CCM kabla ya vyama vingi ni vya Watanzania wote.
  4. Suppliers wao wengi wa mwaka jana nasikia bado wana madai yao hayajalipwa (waliosupply vitu vya kampeni)
  5. Hao wanaonyooshewa mkono wakiachwa na CCM majimbo yao mengi yatakwenda upinzani.
  6. Hao wanaoitwa mafisadi wa CCM ndiyo wanaofahamu conduit zote za CCM za fedha za hila na mbinu chafu zote.
  7. Hao walioteuliwa sasa hivi hawana mizizi ndani ya Chama na pia huyo Kiranja wao mkubwa alikuwapo muda wote akiwaongoza na ameshindwa kuwanyooshea kidole hao wanaoitwa mafisadi na hata kudiriki kusema yeye akiwa Rais wa nchi kuwa hao watu ni wakubwa na hatari na hivyo haiwezekani kuwagusa hivi hivi.
  8. Wafadhili wamekataa kuchangia kapu la Maendeleo kwa mwaka 2010/2011 na ndiyo maana unaona mambo mengi yamedoda hata kelele za Magufuli nazo za chinichini maana hakuna fedha.
  9. Kutakuwa na viporo vingi vya Maendeleo na ahadi za Rais kwa kuwa mwaka huu mengi hayakufanyika na fedha hakuna.
  10. Rais anategemea kuwa anaweza kupata fedha kwa wahisani wa maendeleo kuchangi kapu la maendeleo kwa marekebisho haya ndani ya CCM lakini akumbuke kuwa watendaji ni wa serikali na inabidi achukue hatua huko ili wafadhili aone.
  11. Miaka iliyopita alijitahidi mafisadi wa EPA kupelekwa mahakamani angalau wafadhili waone kuna kitu kinatendeka. Sidhani kama kutakuwa na ushahidi wa kutosha utakaotolewa na upande wa Mashtaka kuwaweka wote walioshtakiwa hatiani.
  12. Swala la Kagoda limeshindwa kupata jibu
  13. Swala la Meremeta na Deep Green Finance bado ni jini kubwa ambalo halijapata wa kulitegua
  14. Bado watendaji serikalini hawajabadili tabia ya kufanya kazi na wengi bado wanakuwa na mikutano mingi ya ndani na nje ambayo hayana tija kwa wananchi.
  15. Safari za nje za maofisa wa serikali, mashirka na hata NGOs ambazo ziko chini ya serikali kila siku wapo safarini kwanza nchi za nje wakitumbua fedha za walipa kodi na za wafadhili.
  16. Wananchi watagutuka na ahadi hewa kwani shule za kata zitawafungua akili na kuwaondolea hofu. Kama wanafuzi wa shule za kata laki 3 wanamaliza kwa mwaka, kwa mwaka 2015 hao ni sawa na wapiga kura milioni moja na nusu. Zaidi ya nusu ya hawa wanaweza kuona kuwa serikali haijafanya iliyo haki kwao hivyo wakawapa wapinzani. Pia watapata elimu nzuri ya uraia wa kujua kuwa kura ni silaha yake ya kuleta maendeleo.
  17. etc etc
  18. HIVYO BASI KWA CCM KUENDELEA KUSHINDA KWA 61% LAZIMA AHADI ZOTE ZA KIKWETE ZIFANYIWE KAZI NA WANANCHI WAIONE SERIKALI YAO INAWATENDEA HAKI. HILI LIKIFANYIKA CCM INAWEZA KUDUMU MPAKA 2020. KINYUME NA HAPO WATAJARIBU KUDHOOFISHA WAPINZANI ILI WAONEKANE ANGALAU BORA. LAKINI HILI PIA LIKIFANYIKA BADO ITAKUWA NI PIGO KWA WATANZANIA KWA SABABU WAFADHILI WATALIONA PIA NA KUZUIA MISAADA.
  19. NAISHIA HAPA KWA SASA LAKINI SABABU ZIPO LUKUKI WA KWANINI CCM HAINA MUDA MREFU SANA IKIWA NA MVUTO ILIYONAYO SASA KWA WANANCHI. MVUTO UTAENDELEA KUDIDIMIA WAKIENDELEA KUWA NA FITINA ZA MANENO ZAIDI YA MATENDO YA KUWAJIBISHA SERIKALI YAKE KUWATUMIKIA WATANZANIA!!!
 
CCM HOYEEEEEE. I am sure CDM will never rule Tanzania mpaka sura ya fujo, ukabila, ukanda na udini vivuliwe gamba.
 
Ngoma bado ni mbichi...huu ni mwanzo tu....mwaka wa 100 unaweza kuwa 2015....
 
CCM is in power to stay. They have a super majority in parliament and will continue to have it for a very long time. Given their significant majority, they will probably pass either a new constitution that favors them in a lot of ways or they will amend the current one to ensure it safeguards their short term and long term interests.
By saying that, you are implying that Tanzania's political culture is static and is not bound to change. I beg to differ with you. Most Tanzanians are very much aware of their political rights and are no longer ready to be bulldozed by any party that goes against their aspirations. Political culture as a subset of the whole culture is dynamic and due to that, changes are going to take place. Just to remind you, witness the challenge the Constitutional Review Act got from the public at large. This is only the beginning. Do you remember KANU? Did any one, at any time think that KANU would be an opposition party? Think about it!
 
By saying that, you are implying that Tanzania's political culture is static and is not bound to change. I beg to differ with you. Most Tanzanians are very much aware of their political rights and are no longer ready to be bulldozed by any party that goes against their aspirations. Political culture as a subset of the whole culture is dynamic and due to that, changes are going to take place. Just to remind you, witness the challenge the Constitutional Review Act got from the public at large. This is only the beginning. Do you remember KANU? Did any one, at any time think that KANU would be an opposition party? Think about it!

Only time will tell
 
CCM HOYEEEEEE. I am sure CDM will never rule Tanzania mpaka sura ya fujo, ukabila, ukanda na udini vivuliwe gamba.

The Following User Groaned at You Zhu For This Awful Post:

Sigma (Today)
 
smilies-27416.png
 
Back
Top Bottom