Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 220,713
- 728,539
Jimbo la Muhambwe ambalo limebebebwa na NCCR-MAGEUZI huenda likaamuliwa na mahakama kuu baada ya mgombea wa CCM kuamua kujitosa mahakamani kudai haki yake kama ipo..................SOURCE: Habari Leo............
Kwa maoni yangu..............
Ikumbukwe jimbo hilo limechukulia na Mbunge mpya na mwenye umri mdogo kuliko wote bungeni Mheshimiwa Felix Mkosamali........ungelifikiria CCM kama kingelikuwa ni chama makini kingelizingatia utata wa NEC ilivyosimamia chaguzi hii wangeliwaagiza wagombea wao waliobwagwa kuachana mara moja na kukimbilia mahakamani ili kuleta maelewano ya kiutaifa na hasa ukizingatia kijana Mkosamali ndiye chipukizi kuliko wote bungeni.............
Oneni aibu CCM.....kura muibe na bado mwataka sasa mahakama iwaongezee majimbo isivyo halali na kinyume cha sheria...huu ulafi utaisha lini?
Kwa maoni yangu..............
Ikumbukwe jimbo hilo limechukulia na Mbunge mpya na mwenye umri mdogo kuliko wote bungeni Mheshimiwa Felix Mkosamali........ungelifikiria CCM kama kingelikuwa ni chama makini kingelizingatia utata wa NEC ilivyosimamia chaguzi hii wangeliwaagiza wagombea wao waliobwagwa kuachana mara moja na kukimbilia mahakamani ili kuleta maelewano ya kiutaifa na hasa ukizingatia kijana Mkosamali ndiye chipukizi kuliko wote bungeni.............
Oneni aibu CCM.....kura muibe na bado mwataka sasa mahakama iwaongezee majimbo isivyo halali na kinyume cha sheria...huu ulafi utaisha lini?