Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Hili swali huwa najiuliza kil siku, kwa nini CCM huwa inataka kushinda kwa haramu katika chaguzi wakati kila mtu anajua kwamba imeshapoteza umaarufu mkubwa kwa wananchi? Na inazidi kupoteza kwa sababu haijirekebishi, mfano katika ufisadi, bali ni usanii tu?
Kwa nini CCM wanataka kulazimisha ushindi na kuanzisha machafuko. Kwa nin polisi na vyombo vya dola vitumiwe na CCM hili hali vinajua machafuko yaweza kutokea? Kwa nini........?
Kwa nini CCM wanataka kulazimisha ushindi na kuanzisha machafuko. Kwa nin polisi na vyombo vya dola vitumiwe na CCM hili hali vinajua machafuko yaweza kutokea? Kwa nini........?