chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Ukweli ni mchungu na ukweli ni mkubwa mbeleni.
Miaka 60 kuwepo CCM bado kuna vitu mnafanya kuchekesha na kuchekesha.
Miaka 60 kuwepo CCM juzi nasikia IGP safari kwenda Rwanda kaja na aliyoshauriwa !
Miaka 60 kuwepo CCM, wananchi tuliopo mtaani,vijijini na sehemu mbalimbali tumeshakuwa wakina Hamza japo kila mtu na matukio yake, ila itafika siku mtatukimbia.
Miaka 60 kuwepo CCM baada ya kuboresha angalau hata mikoa 8 ifanane na mji kama Dar mpo mpo tu japo hata Hayati Magufuli alijaribu Dodoma na Chato kwao.
Miaka 60 kuwepo CCM bado kampeni zao sijui tutajenga barabara,sijui kitu gani wakati hizi sera zilitakiwa kufa kipindi cha Jakaya.
Miaka 60 kuwepo CCM ni waoga wa katiba na vyama pinzani hata wanaharakati.
Haya ni machache ila 2025. Katika nyuzi zangu na nawaota sana mtakavyochekesha dunia
Miaka 60 kuwepo CCM bado kuna vitu mnafanya kuchekesha na kuchekesha.
Kama hili
Miaka 60 kuwepo CCM juzi nasikia IGP safari kwenda Rwanda kaja na aliyoshauriwa !
Miaka 60 kuwepo CCM, wananchi tuliopo mtaani,vijijini na sehemu mbalimbali tumeshakuwa wakina Hamza japo kila mtu na matukio yake, ila itafika siku mtatukimbia.
Miaka 60 kuwepo CCM baada ya kuboresha angalau hata mikoa 8 ifanane na mji kama Dar mpo mpo tu japo hata Hayati Magufuli alijaribu Dodoma na Chato kwao.
Miaka 60 kuwepo CCM bado kampeni zao sijui tutajenga barabara,sijui kitu gani wakati hizi sera zilitakiwa kufa kipindi cha Jakaya.
Miaka 60 kuwepo CCM ni waoga wa katiba na vyama pinzani hata wanaharakati.
Haya ni machache ila 2025. Katika nyuzi zangu na nawaota sana mtakavyochekesha dunia