CCM kuwalegezea CHADEMA ili ionekane tuna misingi ya Demokrasia ni kukengeuka

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Narudia kusema kama kuna Chama ambacho hakifai hapa Tanzania basi ni CHADEMA. Kimejaa wanasiasa wanafiki na wasaka matumbo.

Leo hii Chadema wanalegezewa na CCM ili ionekane Mama Samia ni mpenda haki na Demokrasia? Huu ni unafiki wa hali ya juu.

Tumesahau harakati zao za chini ya kapeti kuhakikisha ndege zinakamatwa? Tumesahau Kovidi ilipoingia Mbowe na genge lake walivyokuwa wakipotosha kuwa maelfu ya watu wanakufa Dar es Salaam hivyo total lockdown iwekwe.

Tumesahau walivyokuwa wanashirikiana na wapambe wao wasio na nia njema kushinikiza tusipate mikopo ya World bank?

Leo hii mnawashinikiza majaji ili watengue hukumu kisa tu muonekane mnapenda Demokrasia! Mnaruhusu Mbowe na genge laki kuzurura wakati mnajua hafai kabisa.

My take: CCM inaelekea pabaya sana na mwaka 2025 moto utawaka.
 
We utakuwa ni Mrundi au Mnyarwanda si kwa chuki hizo, we ni mchawi kabisa, lengo lenu tuchinjane, futeni vyama vingi, pumbav.
Chadema haifai inaliombea mabaya taifa letu kila mara sio watu wa kuwakumbatia kabisa.
 
Tuliza makalio, 2025 ipo near.
Mnawaza uchaguzi tu!!

Mbona sisi tusio wanasiasa maisha yanaenda tu. Ni muda wa kuwaza maendeleo ya kweli.. sio kuwaza namna ya kubakia madarakani, ndio maana badala ya kujadili Mambo yakuwagusa wananchi bungeni kule kila mkisimama kuchangia hoja ni kumsifu Mwendazake na kuraise hoja ya kumuondolea ukomo wa madaraka

Sasa tuendeleze hii hoja kwa Mhe Rais wa Sasa.. na yeye atake asitake tutamuongezea muda wa kutawala.
 
Kwa akili yako hii nchi ni mali ya CCM, au ni mali ya Watanzania wote? Acha ubinafsi wa kipuuzi wewe. Kama hutaki mfumo wa vyama vingi, hamia China au Korea Kaskazini.
Ahaaaa. Nafikiri hujaelewa mantiki ya hoja yangu. Kama taifa hatutakiwi kukumbatia wanasiasa wajaza matumbo.
 
Mnawaza uchaguzi tu!!

Mbona sisi tusio wanasiasa maisha yanaenda tu. Ni muda wa kuwaza maendeleo ya kweli.. sio kuwaza namna ya kubakia madarakani, ndio maana badala ya kujadili Mambo yakuwagusa wananchi bungeni kule kila mkisimama kuchangia hoja ni kumsifu Mwendazake na kuraise hoja ya kumuondolea ukomo wa madaraka

Sasa tuendeleze hii hoja kwa Mhe Rais wa Sasa.. na yeye atake asitake tutamuongezea muda wa kutawala.
Hujui lolote mlopokaji mkubwa. Siasa ndio kila kitu inagovern kila jambo unalofanya.
 
Chadema wanataka haki Uhuru na maendeleo ya watu.

Lazima Samia ayatekeleze atake asitake
 
Ahaaaa. Nafikiri hujaelewa mantiki ya hoja yangu. Kama taifa hatutakiwi kukumbatia wanasiasa wajaza matumbo.
Nitajie mwanasiasa mmoja tu ndani ya chama chako cha CCM ambaye haliwazii tumbo lake. Inaonekana huwafahamu vizuri wanasiasa! Kwa taarifa yako wote ni wabinafsi na wachumia tumbo tu.

Labda Mwalimu Nyerere na baadhi ya Wajamaa wenzake wavhache, walau walijitahidi.
 
Nitajie mwanasiasa mmoja tu ndani ya chama chako cha CCM ambaye haliwazii tumbo lake. Inaonekana huwafahamu vizuri wanasiasa! Kwa taarifa yako wote ni wabinafsi na wachumia tumbo tu.

Labda Mwalimu Nyerere na baadhi ya Wajamaa wenzake wavhache, walau walijitahidi.
Usitake kufumba macho. Kuwazia tumbo la mtu isiwe sababu ya kupiga madili nje na kipato halali. Kuchumia tumbo siasa ni kama kutafuna michango na kula ruzuku. Lakini kiongozi kama Mangula anaetegemea mshahara wake unamuweka kundi gani?
 
Wewe si ulikuwa kundi la wauaji na watesaji, umekosa damu.za watu sasa kama shetani unahaha, pumbavu!

Acha nchi ikae kwa amani, watu wana uhuru wa kusema kushauri na kutoa mawazo mbadala, siyo kuishi kama vile akili zetu wote zimechomolewa!

Ikikuuma sana hama nchi, hata somalia ni.nchi pia, hamia huko!
 
Wewe si ulikuwa kundi la wauaji na watesaji, umekosa damu.za watu sasa kama shetani unahaha, pumbavu!

Acha nchi ikae kwa amani, watu wana uhuru wa kusema kushauri na kutoa mawazo mbadala, siyo kuishi kama vile akili zetu wote zimechomolewa!

Ikikuuma sana hama nchi, hata somalia ni.nchi pia, hamia huko!
Ni dhahiri hauna akili timamu.
 
Napendekeza Ndege Mpya Zijazo Ziandikwe "Kazi Iendelee "
Madame Samia Suluhu Hassan
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Back
Top Bottom