pepekale
Member
- Nov 25, 2010
- 60
- 50
wanajamii naomba kupokelewa jamvini,mimi ni mgeni hapa!ndugu zangu wana JF hapa russia kuna tawi la ccm,wameandaa sherehe za kumpongeza rais jk kwa ushindi hafifu aliopata katika ubalozi wetu hapa moscow!sasa ndugu zangu naomba kufahamishwa kama inaruhusiwa ofisi ya serikali kufanya sherehe ya chama fulani?na je kama chadema nao wakiomba ukumbi wa ubalozi wetu watapewa au inakuaje hapa?please msaada tutani wakuu!