MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
wakuu imenibidi nihoji hili kwani chama cha mapinduzi wilaya ya Same kilimanjaro kinatarajia kufanya mkutano mkubwa wa chama wilayani hapo utakao fanyika nje ya viwanja vya ukumbi wa chakula wa SHULE YA SEKONDARI SAME,
Hapa nahoji je kuna uhalali wa chama chochote cha siasa kutumia kumbi hizi?
je kama chama cha upinzani kikiomba huo ukumbi kitaruhusiwa?....
angalizo.: mweshimiwa Matayo amewahi zomewa na wanafunzi wa shule hiyo, hivyo ccm iwe makini sana na wale wanafunzi, wawe tayari kukabilana na changamoto zitakazo jitokeza.....
KIDUMU CHAMA.......
Hapa nahoji je kuna uhalali wa chama chochote cha siasa kutumia kumbi hizi?
je kama chama cha upinzani kikiomba huo ukumbi kitaruhusiwa?....
angalizo.: mweshimiwa Matayo amewahi zomewa na wanafunzi wa shule hiyo, hivyo ccm iwe makini sana na wale wanafunzi, wawe tayari kukabilana na changamoto zitakazo jitokeza.....
KIDUMU CHAMA.......