Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
Nimeona Katibu wa CCM mwanza akiwa na Nape wakilalamika kitendo cha Watendaji wa serekali ...Tanroads na Tanesco kwa kukataaa kwenda kwenye mikutano Yao Kujibu Hoja za Wananchi
....Katibu ameenda Mbali kutushia kuwafukuzisha kazi.
Nimeshangaa sana Kama tunao wanasiasa ambao huwajui katika utendaji wa Vyama vingi....watumishi wa umma Kama hawa hawawajibiki kwa Katibu wa CCM na sio busara kuwatumia kisiasa .....Watofauutishe role ya mawaziri ambao wao ndio wasimamizi wa kisiasa serekalini na hawa Watendaji.
...Ni halali Kabisa kwa waziri kuwajibika kwa chama na Kijibu Hoja ......Lakini ni uwehu Kabisa kuwaonea Watendaji wa umma...kuwatumia kwenye majukwaa ya kisiasa.
Iwapo hawa Watendaji walitajwa watahamishwa au kufukuzwa kazi itaweka predecence mbaya.....na tunaomba katiba mpya iweke msisitizo juu na kuwalinda Watendaji wa umma dhidi ya wanasiasa.
....Katibu ameenda Mbali kutushia kuwafukuzisha kazi.
Nimeshangaa sana Kama tunao wanasiasa ambao huwajui katika utendaji wa Vyama vingi....watumishi wa umma Kama hawa hawawajibiki kwa Katibu wa CCM na sio busara kuwatumia kisiasa .....Watofauutishe role ya mawaziri ambao wao ndio wasimamizi wa kisiasa serekalini na hawa Watendaji.
...Ni halali Kabisa kwa waziri kuwajibika kwa chama na Kijibu Hoja ......Lakini ni uwehu Kabisa kuwaonea Watendaji wa umma...kuwatumia kwenye majukwaa ya kisiasa.
Iwapo hawa Watendaji walitajwa watahamishwa au kufukuzwa kazi itaweka predecence mbaya.....na tunaomba katiba mpya iweke msisitizo juu na kuwalinda Watendaji wa umma dhidi ya wanasiasa.