Wanajamii nimeshtuka leo gazeti la mtanzania limemkariri waziri mteule nyarandu akidai atapigana kuhakikisha anatokomeza nyumba za tembe,sio hawahawa waliokuwa wanambeza dr slaa?kweli ccm wamefikia uko wa fikiri kilichobaki ni kutekeleza maagizo ya dr wa ukweli mpaka 2015 tuwatupilie mbali...pipooooz pawaaaaaa!