Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Wamekuwepo viongozi wa ccm akiwemo wassira na Mwigulu Nchemba wamekuwa wakitoa kauli za kwamba CHADEMA lazima ife.Je,kwani uwepo wa CHADEMA kuna haribu nini katika serikali ya ccm(magamba)? Je,Iwapo CHADEMA itafanikiwa kufa(japo ni jambo lisilowezekana) CCM watakuwa wamefaidika na nini? Ni nini kinachowafnya ccm kukazana kupika mbinu chafu za kuua chadema? Mfumo wa ccm wanafaidka na nini hadi wawe na hofu ya kuondok madarakani? Je,ikulu kuna nini hadi wang'ang'anie kuwepo ccm tu peke yao katika utawala?
Najua kuhangaika kote huku ni kuficha uovu uliofanywa na ccm wakiwemo viongozi majangili(kinana),viongozi wauaji(kamuhanda),viongozi wa ccm wabakaji(kapuya),viongozi wa ccm wachochezi(pinda na muhongo),viongozi wa ccm mafisadi(lowasa,chenge nk),viongozi wanaohamasisha mauaji(Nchemba),viongozi wenye dharau(muhongo,membe) nk.
Najua kuhangaika kote huku ni kuficha uovu uliofanywa na ccm wakiwemo viongozi majangili(kinana),viongozi wauaji(kamuhanda),viongozi wa ccm wabakaji(kapuya),viongozi wa ccm wachochezi(pinda na muhongo),viongozi wa ccm mafisadi(lowasa,chenge nk),viongozi wanaohamasisha mauaji(Nchemba),viongozi wenye dharau(muhongo,membe) nk.