Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,607
Ndugu wana jukwaa,ikiwa imebaki siku moja uchaguzi wa kupata madiwani katika kata 26 za mikoa mbalimbali ya nchi hii ufanyike,huku upepo ukiwa mzuri kwa ccm katika kata zote ambapo ni wazi kabisa kwamba safari hii wapinzani watavuna mabua na kuambulia aibu.
Hali iliyotokana na wananchi kuchoshwa na vurugu za chama kinachojiita chama kikuu cha upinzani(chadema)ambapo kimekuwa kikiendesha siasa zake kwakutumia nguzo kuu tatu ambazo ni
uwongo
uchochezi
maandamano
Huku wakitumia gharama kubwa katika kampeni zao ambazo wanatumia helicopter hali inayopelekea kuteketeza zaidi ya million 200 halafu kwenye mikutano yao wanachangisha miamia za wananchi wanaowaita masikini.
Huko ni kukosa dira na kutoelewa dhana ya utawala bora kwani kama wangekuwa wanaelewa dhana ya utawala bora mamillion hayo wanayoyatumia kwenye helicopter wangeyaelekeza kusaidia vikundi vya vijana mbalimbali kujikwamua kiuchumi na kuweza kujiajiri.
Vijana wameshtuka kuwa walikuwa wanatumiwa mfano ukiwa ni mr Mboya na Niko ambao walikuwa wapambe damu wa Lemaaa na vijana wengine wengi ambao wameahidi kuipa ushindi ccm ,tena ushindi wa kishindo.
Vurugu mnazoifanyia ccm barabarani na kwenye mikutano yetu , uzushi mnaoueneza kwenye mitandao ya kijamii pamoja na matusi mnayotukana havitoweza kuwasaidia kuepuka adhabu mtakayopewa na wananchi wa Arusha kwakuwafukuza wawakilishi wao halmashauri na kusababisha kuweka likizo ya maendeleo ya kata zao nne .
Niitakie CCM ushindi wa kishindo maeneo yote ya nchi yanayotarajia kufanya uchaguzi kesho.
CCM kushinda kwa kishindo kesho.
Viva CCM.
Hali iliyotokana na wananchi kuchoshwa na vurugu za chama kinachojiita chama kikuu cha upinzani(chadema)ambapo kimekuwa kikiendesha siasa zake kwakutumia nguzo kuu tatu ambazo ni
uwongo
uchochezi
maandamano
Huku wakitumia gharama kubwa katika kampeni zao ambazo wanatumia helicopter hali inayopelekea kuteketeza zaidi ya million 200 halafu kwenye mikutano yao wanachangisha miamia za wananchi wanaowaita masikini.
Huko ni kukosa dira na kutoelewa dhana ya utawala bora kwani kama wangekuwa wanaelewa dhana ya utawala bora mamillion hayo wanayoyatumia kwenye helicopter wangeyaelekeza kusaidia vikundi vya vijana mbalimbali kujikwamua kiuchumi na kuweza kujiajiri.
Vijana wameshtuka kuwa walikuwa wanatumiwa mfano ukiwa ni mr Mboya na Niko ambao walikuwa wapambe damu wa Lemaaa na vijana wengine wengi ambao wameahidi kuipa ushindi ccm ,tena ushindi wa kishindo.
Vurugu mnazoifanyia ccm barabarani na kwenye mikutano yetu , uzushi mnaoueneza kwenye mitandao ya kijamii pamoja na matusi mnayotukana havitoweza kuwasaidia kuepuka adhabu mtakayopewa na wananchi wa Arusha kwakuwafukuza wawakilishi wao halmashauri na kusababisha kuweka likizo ya maendeleo ya kata zao nne .
Niitakie CCM ushindi wa kishindo maeneo yote ya nchi yanayotarajia kufanya uchaguzi kesho.
CCM kushinda kwa kishindo kesho.
Viva CCM.