Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Wakuu nimeshangaa saaaana, Chadema haina mgombea Ila chakushangaza, CCM walikuwa wanatuma makombora kwa Chadema hisiyo na mgombea
Juzi wabunge wa CCM wa mkoa wa Tabora walienda kutoa kampani Ushetu, wote walikuwa wanaiponda Chadema hisiyo na mgombea,,,mgombea wa ACT ata hawakuhangaika naye.
CCM Mara hamtaki upinzani, uku mnawatajataja kila muda badilika
Juzi wabunge wa CCM wa mkoa wa Tabora walienda kutoa kampani Ushetu, wote walikuwa wanaiponda Chadema hisiyo na mgombea,,,mgombea wa ACT ata hawakuhangaika naye.
CCM Mara hamtaki upinzani, uku mnawatajataja kila muda badilika