CCM kuondokewa na Mawaziri wakuu wawili ni jambo la aibu sana

Hao waliondoka kwasababu maslai yao binafsi hayakufua dafu, sasa wewe iga badala ya kufanya yako uone.
 
Kila nikitafakari nashindwa kuelewa , chama kilicho madarakani kupuuzwa na Watu wawili waliokuwa Mawaziri wakuu wa nchi na kukiacha wakati wa uchaguzi , ilikuwa fedheha kubwa sana yenye ukakasi ndani yake , na iliyoacha maswali mengi mno !

Swali la kujiuliza ni je , kama hawa waliokuwa na madaraka ya juu namna ile waliondoka , wewe mchumia tumbo , mbwa kachoka unasubiri nini ? Jiulize ni watu wangapi mashuhuri waliobaki ccm kiukweli kabisa hivi leo ?

Hivi wewe unaijua ccm kuliko Kingunge ?
Hao wameondoka kwa sababu ni wasaka tonge
 
Kuhama kwa mwanachama kutoka chama A kwenda chama B ni hiari ya MTU na Katiba za vyama zimetoa hiyo nafasi kwa hiyo siyo kosa.

Wana haki zote Kikatiba wala sio jambo la kushangaa.
 
Walifika mahali wao na kingunge wao kudhani wao ndio CCM na CCM ndio wao wakasahau kuwa CCM ni taasisi kubwa mno yenye mfumo uliosukwa ukasukika kilichowapata hawana hamu na CCM na hawaamini hadi leo.HAta wazungu hawaamini
Yaani hapo uliposema "Hata wazungu hawaamini" umenifanya nicheke kwa herufi Kubwa mpaka watoto wameamka,kweli CCM noma!
Nalog off
 
Sijakataa watu kuondoka kwenye vyama , lakini kuondoka kwa watu wawili ambao wote walikuwa ni mawaziri wakuu si jambo la kupuuzwa .

kwa hiyo na wew MLAMBA MATAPISHI MBONA HUSHANGAI KATIBU WENU KUONDOKA AU WEW UNAONA SAWA TU..
 
Kila nikitafakari nashindwa kuelewa , chama kilicho madarakani kupuuzwa na Watu wawili waliokuwa Mawaziri wakuu wa nchi na kukiacha wakati wa uchaguzi , ilikuwa fedheha kubwa sana yenye ukakasi ndani yake , na iliyoacha maswali mengi mno !

Swali la kujiuliza ni je , kama hawa waliokuwa na madaraka ya juu namna ile waliondoka , wewe mchumia tumbo , mbwa kachoka unasubiri nini ? Jiulize ni watu wangapi mashuhuri waliobaki ccm kiukweli kabisa hivi leo ?

Hivi wewe unaijua ccm kuliko Kingunge ?
Makapi
 
Bila polisi hakuna ccm , ccm ni dhaifu kuliko kawaida ! Hivi umewahi kujiuliza kilichomtoa Sumaye ccm ? Ya lowassa tuyaache .
Hii excuse ndo itawafanya wapinzani wafikishe hata miaka 100 bila kuiona ikulu, Siasa ni uwezo wa kushawishi watu wakuamini wewe ili ushike hatamu katika nafasi fulani, kitendo cha kusema sijui polisi au jeshi huwa nikichaka kinachowafanya wajihalalishie kushindwa kwao kushawishi, Kama unafanya tathmini ya haraka haraka hiyo point ni mufilisi,
Hivi hawa polisi wasiofika hata laki 2, wanawezaje kuingilia kushawishi matokeo ya Mtaa, Vijiji na Vitongoji?? kwasababu huko kote CCM inaongoza

Polisi hao hao waje wa intervene hadi kwa Madiwani na Wabunge?? afu hao hao waje wa intervene Kwa Urais ndo maana hata vyombo vya kimataifa hoja za wapinzani huwa zinavipuuza tu atleast ya uchaguzi wa Zanzibar ambayo pia kutokuwa makini na kujitangaza kama mshindi kwa Maalim kuliipa CCM mwanya the same kimataifa wamekosa msaada sababu ya kucheza rough hiyo.
Let say kabisa kabisa tuanze kuihesabu mikoa hapa ambayo ni ilikuwa Ngome ya kisiasa kwa kila chama hivi kweli unaona kuna uonevu, Say Kanda ya ziwa yote ilikuwa CCM, Kanda ya kati Yote ilikuwa CCM, kusini ilikuwa Nusunusu, Magharibi Nayo ilikuwa CCM, Chadema walikuwa Kaskazini na Mashariki. Nipe tu Population ya hayo maeneo.

Jamani ndo maana Siasa ikafanywa somo nalo watu wanasomea eti, Numbers do not lie, Hii excuse ya polisi, sijui vyombo vya dola itaendelea kuwagharimu tu, Kama kweli chama kina ushawishi si tumeona nchi nyengine hata Jeshi limehasi kwakuwa tu kuna wanasiasa ambao Jeshi linawaunga mkono, Kitendo cha Polisi,Majeshi kuendelea kuibeba CCM ni hakika kuwa ushawishi wa vyama vya upinzani katika siasa zetu haujawa wa kulizisha kiasi cha hivi vyombo kufikia hatua ya kuacha kupendelea upande wowote.
 
Kila nikitafakari nashindwa kuelewa , chama kilicho madarakani kupuuzwa na Watu wawili waliokuwa Mawaziri wakuu wa nchi na kukiacha wakati wa uchaguzi , ilikuwa fedheha kubwa sana yenye ukakasi ndani yake , na iliyoacha maswali mengi mno !

Swali la kujiuliza ni je , kama hawa waliokuwa na madaraka ya juu namna ile waliondoka , wewe mchumia tumbo , mbwa kachoka unasubiri nini ? Jiulize ni watu wangapi mashuhuri waliobaki ccm kiukweli kabisa hivi leo ?

Hivi wewe unaijua ccm kuliko Kingunge ?
Vijana wa Chadema wamepoteza sana muelekeo. Vibabu vimekula nchi zaidi ya miaka 50 hadi kustaafu, leo vinataka kurudi madarakani baada kugundua kuna Vijana ndani ya vyama vya upinzania wana "Frustration" Nawaambia kama Bavicha hamna mpango wa kuandaa viongozi wa kesho, matapeli wa siasa wataendelea kuwaletea vibabu kuchukuwa nafasi za uongozi hali mikibaki kushangilia kama mazuzu
 
Jamaa aliyeanzisha hii mada labda alichelewa kulia alivyozaliwa. Watu washasahau yeye ndio anajiuliza leo.
 
Kushinda kwake bado kumedhihirisha kuwa ni taasisi iliyojijenga kama taasisi na sio kutegemea uwepo wa baadhi ya watu,na hii ni sifa nzuri kwa jumuiya/chama chochote kinachojali wanachama/wanajumuiya bila ya kujali nyadhifa au ushawishi wa watu binafsi
Refa wao, Linesman wao, Wasimamizi wa Ligi wao, wahisabu kura wao na sheria za mchezo wametunga wao hivi unategemea nani atakuwa mshindi hapo??
 
Kila nikitafakari nashindwa kuelewa , chama kilicho madarakani kupuuzwa na Watu wawili waliokuwa Mawaziri wakuu wa nchi na kukiacha wakati wa uchaguzi , ilikuwa fedheha kubwa sana yenye ukakasi ndani yake , na iliyoacha maswali mengi mno !

Swali la kujiuliza ni je , kama hawa waliokuwa na madaraka ya juu namna ile waliondoka , wewe mchumia tumbo , mbwa kachoka unasubiri nini ? Jiulize ni watu wangapi mashuhuri waliobaki ccm kiukweli kabisa hivi leo ?

Hivi wewe unaijua ccm kuliko Kingunge ?
aaaaahaaa!! Hivi kumbe CCM wana cheo cha waziri mkuu...
Asante kwa taarifa
 
Refa wao, Linesman wao, Wasimamizi wa Ligi wao, wahisabu kura wao na sheria za mchezo wametunga wao hivi unategemea nani atakuwa mshindi hapo??
Kama ni hivyo basi waachwe wacheze wao wenyewe, sasa huwa wanaenda kufanya nini ili hali yote hayo wanayajua??
 
Kila nikitafakari nashindwa kuelewa , chama kilicho madarakani kupuuzwa na Watu wawili waliokuwa Mawaziri wakuu wa nchi na kukiacha wakati wa uchaguzi , ilikuwa fedheha kubwa sana yenye ukakasi ndani yake , na iliyoacha maswali mengi mno !

Swali la kujiuliza ni je , kama hawa waliokuwa na madaraka ya juu namna ile waliondoka , wewe mchumia tumbo , mbwa kachoka unasubiri nini ? Jiulize ni watu wangapi mashuhuri waliobaki ccm kiukweli kabisa hivi leo ?

Hivi wewe unaijua ccm kuliko Kingunge ?
Vipi na CHADEMA Kukimbiwa na Katibu mkuu wake na strategist wake Dr Slaa!?
 
Kila nikitafakari nashindwa kuelewa, chama kilicho madarakani kupuuzwa na watu wawili waliokuwa Mawaziri wakuu wa nchi na kukiacha wakati wa uchaguzi, ilikuwa fedheha kubwa sana yenye ukakasi ndani yake, na iliyoacha maswali mengi mno!

Swali la kujiuliza ni je, kama hawa waliokuwa na madaraka ya juu namna ile waliondoka, wewe mchumia tumbo, unasubiri nini? Jiulize ni watu wangapi mashuhuri waliobaki CCM kiukweli kabisa hivi leo?

Hivi wewe unaijua CCM kuliko Kingunge?
Una uhakika kua wameondoka?muwe mnafikili kwa kina
 
Kila nikitafakari nashindwa kuelewa, chama kilicho madarakani kupuuzwa na watu wawili waliokuwa Mawaziri wakuu wa nchi na kukiacha wakati wa uchaguzi, ilikuwa fedheha kubwa sana yenye ukakasi ndani yake, na iliyoacha maswali mengi mno!

Swali la kujiuliza ni je, kama hawa waliokuwa na madaraka ya juu namna ile waliondoka, wewe mchumia tumbo, unasubiri nini? Jiulize ni watu wangapi mashuhuri waliobaki CCM kiukweli kabisa hivi leo?

Hivi wewe unaijua CCM kuliko Kingunge?
DEMOKRASIA NDIVYO ILIVYO. Huwezi kumlazimisha mtu kubaki kwenye chama kama hakimridhishi.
Bw Sumaye wakati akiwa waziri mkuu hakuwa na degree na kwa vile alikuwa na ndoto ya urais alikwenda soma ili apate hiyo degree[masharti katika chama chake] na baada ya kupata hiyo degree akaomba kugombea urais kutoka kwenye chama hicho lakini hakufikiriwa hata kidogo -hivyo aliamua kuondoka
Mzee EL naye pia wakati wa kugombea urais kipindi kilichopita. Yeye na swahiba wake mkuu JK waliomba na kwamba yeyote atakayepata ni kama wamepata wote na kwamba muda wa uraisi ukifika basi aliyekuwa rais atamkingia mwenzake kwenye kinyang'anyiro cha urais. Hii ikashindikana kwa sababu chama hicho hakikuwa ni mali ya JK. Alivyotupwa nje ya kinyang'anyiro cha urais akaamua kutimiza ndoto yake kwa kwenda kwenye chama kingine ambapo hata huko nako wananchi walimkataa.
Suala kwenye demokrasia siyo umashuhuri tu bali ni wanachama wenzako wanakuamini kiasi gani uwawakilishe kwenye kinyang'anyiro hicho.
 
Back
Top Bottom