Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,071
- Thread starter
- #101
Hoja yako ni dhaifu na ya kizembe sana !Dalili za M/Rais kuhamia upinzani.? Au naota mimi. Kwanza ulishawahi kujiuliza kilichowaleta upinzani hao Mawaziri Wakuu zaidi ya uroho wa madaraka? Nadhani sasa hivi wao ndo wanaona aibu kuliko CCM. Maana kuna mmoja katoka Uwaziri Mkuu hadi Uenyekiti wa Kanda. Mwingine kashindwa kutetea jimbo kwenye ngome yake.