Sekenke
Senior Member
- Mar 3, 2008
- 132
- 29
Chama Cha Mapinduzi hujinadi kuwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi, japo kwa siku za karibuni ile M imehusishwa na Mafisadi.
Jana wakati Mwenyekiti wa Chama hiki, wakati akiwahutubia wazee wa CCM (kila mmoja alikuwa kavaa jezi za chama) Dar es salaam, alitangaza kuwakana wafanyakazi, hata kuzira kura zao licha ya kwamba kampeni hazijaanza. Kisa? Mgomo ulioandaliwa kisheria miezi kadhaa sasa.
Kwa mantiki hiyo, CCM yawezekana wamepania kuachana na alama ya nyundo kwenye bendera yao, sitashangaa ikiwekwa alama ya fedha (mafisadi) badala yake...
Yote hayo tisa, kumi kesho... siku ya tano tano: 5.5.2010
Jana wakati Mwenyekiti wa Chama hiki, wakati akiwahutubia wazee wa CCM (kila mmoja alikuwa kavaa jezi za chama) Dar es salaam, alitangaza kuwakana wafanyakazi, hata kuzira kura zao licha ya kwamba kampeni hazijaanza. Kisa? Mgomo ulioandaliwa kisheria miezi kadhaa sasa.
Kwa mantiki hiyo, CCM yawezekana wamepania kuachana na alama ya nyundo kwenye bendera yao, sitashangaa ikiwekwa alama ya fedha (mafisadi) badala yake...
Yote hayo tisa, kumi kesho... siku ya tano tano: 5.5.2010