Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,996
- 2,494
Watu Wa Meru mashariki wanakumbuka vizuri maneno yako Mh. Mkapa.
siku ile ulipokuja kijiji nyumbani kwa marehemu mbunge Sumari (R.I.P) kufungua shule ya sekondari Akheri.
ulisema kuwa ,wewe umekuja tu kufungua shule na sio lingine lo0lote eti kisa hawakukuchagua, na haukutoa lolote.
wewe leo unategeme awameru watakusikiza kwenye ufunguzi? au ni wale mtakaowaleta kwa malori? watakuja na kusikiza muziki kisha watasepa.
siku ile ulipokuja kijiji nyumbani kwa marehemu mbunge Sumari (R.I.P) kufungua shule ya sekondari Akheri.
ulisema kuwa ,wewe umekuja tu kufungua shule na sio lingine lo0lote eti kisa hawakukuchagua, na haukutoa lolote.
wewe leo unategeme awameru watakusikiza kwenye ufunguzi? au ni wale mtakaowaleta kwa malori? watakuja na kusikiza muziki kisha watasepa.