Nimetafakari huu uteuzi nikaja kubaini kuwa huwnda hili lilifanyika kwa kuamini kuwa vyama pinzani vitasusia tena uchaguzi na hivyo wagombea hao hawatakuwa na upinzani wowote! Hii ni kutokana na kpsababu kwamba wagombea hawa hawawezi kuingizizwa katika kinyanganyiro chenye ushindani na bado wakachomoka kwa kuwa tayari wamepoteza mvuto na hata wananchi wao wanawasubiri wawaadhibu
Kwa hakika kama uchaguzi utakuwa huru na haki kwa hawa wagombea chadema hata wasipopiga kampeni wanashinda
Kimsingi kitendo cha Chadema kutangaza kushiriki uchaguzi huu kitakuwa kimeistua timu ya Lumumba kwani watalazimika kujipanga upya kutafuta mbinu za kuhakikisha watabaki na ushindi.
Kwa hakika kama uchaguzi utakuwa huru na haki kwa hawa wagombea chadema hata wasipopiga kampeni wanashinda
Kimsingi kitendo cha Chadema kutangaza kushiriki uchaguzi huu kitakuwa kimeistua timu ya Lumumba kwani watalazimika kujipanga upya kutafuta mbinu za kuhakikisha watabaki na ushindi.