Pale kwenye gun fight wewe unakuja na fists fight alafu unategemea kushinda, chadema mnachekesha sanaNimetafakari huu uteuzi nikaja kubaini kuwa huwnda hili lilifanyika kwa kuamini kuwa vyama pinzani vitasusia tena uchaguzi na hivyo wagombea hao hawatakuwa na upinzani wowote! Hii ni kutokana na kpsababu kwamba wagombea hawa hawawezi kuingizizwa katika kinyanganyiro chenye ushindani na bado wakachomoka kwa kuwa tayari wamepoteza mvuto na hata wananchi wao wanawasubiri wawaadhibu
Kwa hakika kama uchaguzi utakuwa huru na haki kwa hawa wagombea chadema hata wasipopiga kampeni wanashinda
Kimsingi kitendo cha Chadema kutangaza kushiriki uchaguzi huu kitakuwa kimeistua timu ya Lumumba kwani watalazimika kujipanga upya kutafuta mbinu za kuhakikisha watabaki na ushindi.
Acha kujitoa ufahamu mbuzi ww. Kimeishtua lumumba au kimezidi kuiweka pabaya Chadema na kuionesha kuwa chama cha majuha? Kasoro zilizolalamikiwa uchaguzi uliopita hazipo tena?Nimetafakari huu uteuzi nikaja kubaini kuwa huwnda hili lilifanyika kwa kuamini kuwa vyama pinzani vitasusia tena uchaguzi na hivyo wagombea hao hawatakuwa na upinzani wowote! Hii ni kutokana na kpsababu kwamba wagombea hawa hawawezi kuingizizwa katika kinyanganyiro chenye ushindani na bado wakachomoka kwa kuwa tayari wamepoteza mvuto na hata wananchi wao wanawasubiri wawaadhibu
Kwa hakika kama uchaguzi utakuwa huru na haki kwa hawa wagombea chadema hata wasipopiga kampeni wanashinda
Kimsingi kitendo cha Chadema kutangaza kushiriki uchaguzi huu kitakuwa kimeistua timu ya Lumumba kwani watalazimika kujipanga upya kutafuta mbinu za kuhakikisha watabaki na ushindi.
Choko@workHakuna haja ya mbinu bali mtangaza matokeo ale mayai mabichi sauti isikwaruze. Asome vizuri tu nambari zile za ushindi wa ccm kwa vyovyote vile. Bora tu waende kupiga kura hata watu 2 wanatosha kuutangaza ushindi wa kishindo kwa ccm. Chama pendwa mno na kila mtu hata huyo Salum Mwalim anakipenda hiki chama ccm
Kama sanduku la kura uamua ushindi,ccm hawawezi shinda, watashinda kusadikisha maneno ya trump.Hawakutegemea kususiwa hivo watajipanga kwa mbinu za bao la mkono.Mkuu hata sio uchaguzi huu tuu, chaguzi yoyote ccm haipiti tukipiga kura na tukienda kiuwazi zaidi
Mchumia tumboNimechumia wapi tumbo hapo?? Mbona hamjui hata kutumia maneno mahali pake?? Mimi sio Mtulia wala Mollel. Tumbo langu nimelichumia wapi?? Ngojeeni kipondo. CCM wamezichukua kura zooooote hata ya Salumuuuu na mwenzake wamemchagua Mtuliaaaaaaaa
Haya bwana inaelekea mmesahau kabisa tabia za bwana yule alietamka hadharani yule wa Zanzibar apewe tuzo kwa aliyoyafanya.Wewe mnafiki kama Juliana shonza
msiogope wachiyeni wana nchi wakiamua siku iyo wata amuwa hakuna bwana yule!!!!Hiyo ndio kete yao iliyobaki! Ushindi wa policcm
Nimetafakari huu uteuzi nikaja kubaini kuwa huwnda hili lilifanyika kwa kuamini kuwa vyama pinzani vitasusia tena uchaguzi na hivyo wagombea hao hawatakuwa na upinzani wowote! Hii ni kutokana na kpsababu kwamba wagombea hawa hawawezi kuingizizwa katika kinyanganyiro chenye ushindani na bado wakachomoka kwa kuwa tayari wamepoteza mvuto na hata wananchi wao wanawasubiri wawaadhibu
Kwa hakika kama uchaguzi utakuwa huru na haki kwa hawa wagombea chadema hata wasipopiga kampeni wanashinda
Kimsingi kitendo cha Chadema kutangaza kushiriki uchaguzi huu kitakuwa kimeistua timu ya Lumumba kwani watalazimika kujipanga upya kutafuta mbinu za kuhakikisha watabaki na ushindi.
Una macho makali sana !
Acha kujitoa ufahamu mbuzi ww. Kimeishtua lumumba au kimezidi kuiweka pabaya Chadema na kuionesha kuwa chama cha majuha? Kasoro zilizolalamikiwa uchaguzi uliopita hazipo tena?