1. Nani amekiruhusu?
2. Wakati anakiruhusu ali-declare conflict of interests kwa umma?
Magufuli hajakodisha hiyo ndege huo ni Uongo wa Nape hiyo ndege haikodishwi labda watengeneze huo uzushi chap chap ili kuwazuga wananchi , pesa ya kukodishwa inaenda wapi? Kama ni ndege ya biashara je? TRA wanachukua Kodi? Mbona ATC hawaikodi ? na iweje ATC wakodi ndege kwingine hiyo ipo ? Huu ni uongo mkubwa Nape anapaswa ajipange Kwa hili kachemsha sana.