CCM kuleta maendeleo ya haraka baada ya kushindwa kwa zaidi ya miaka 50 ya uhuru

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,251
Nimeshangazwa Na kauli ya Msemaji wa CCM Bw.Olesendeka Jana alipokuwa anawahutubia wananchi wa Kilimanjaro eti CCM itawaletea Maendeleo ya haraka watoke vyama vya upinzani.Ina maana wananchi waliopo ndani ya CCM wana maendeleo? Mbona ni masikini wa kutupwa hata mlo wao wa siku unasumbua?CCM kuanzia TANU IPO madarakani Kwa zaidi ya miaka 50 lakini hali za maisha ya watanzania zinazidi kuwa duni licha ya nchi kuwa Na Rasilimali nyingi badala yake viongozi wa CCM Na Serikali akiwemo Bw.Ole Sendeka ni matajiri wa kutupwa .Tunawaomba viongozi wetu waacha kauli za kuwadhihaki watanzania eti wakijiunga na CCM watapata maendeleo hakuna lolote wataishia kupewa T' Shirt Na Vitamba vya kichwani Na Kofia hayo ndio Maendeleo ndani ya CCM.
 
Nimeshangazwa Na kauli ya Msemaji wa CCM Bw.Olesendeka Jana alipokuwa anawahutubia wananchi wa Kilimanjaro eti CCM itawaletea Maendeleo ya haraka watoke vyama vya upinzani.Ina maana wananchi waliopo ndani ya CCM wana maendeleo? Mbona ni masikini wa kutupwa hata mlo wao wa siku unasumbua?CCM kuanzia TANU IPO madarakani Kwa zaidi ya miaka 50 lakini hali za maisha ya watanzania zinazidi kuwa duni licha ya nchi kuwa Na Rasilimali nyingi badala yake viongozi wa CCM Na Serikali akiwemo Bw.Ole Sendeka ni matajiri wa kutupwa .Tunawaomba viongozi wetu waacha kauli za kuwadhihaki watanzania eti wakijiunga na CCM watapata maendeleo hakuna lolote wataishia kupewa T' Shirt Na Vitamba vya kichwani Na Kofia hayo ndio Maendeleo ndani ya CCM.
wanakuja mkuu ngoja tuwasubiri
 
Tanzania ya Magufuli itakuwa ya viwanda. wewe endelea kung'ang'ana na gari bovu
 
Amuulize Davis Mosha a.k.a YAHAYA anajua wananchi wa Kilimanjaro wanataka nini, maana wameng'oa mpaka jembe lao MWANRI , maendeleo ya ccm waanze kuyaonesha Dodoma kwanza watoke kula viwavi jeshi, angalau wale kumbikumbi. Ndio wakawabadilishe akili wana Kilimanjaro.
 
Maendeleo hayaletwi kwa mdomo, ni vitendo na vinaonekana ndani ya serikali iliyopo, rais wa mioyo yenu angeishia kutuuuza
 
Maendeleo ya kweli huletwa kwa mikakati kwa makubaliano baina ya wananchi na viongozi nasio viongozi kufanya waya takayo bila ya kushirikisha na ndio maana waliamua kugawa vyandarua nchi nzima
Viongozi walikuwa hawajui ni mikoa ipi ina Malaria?
wananchi walihamasishwa kulala kwenye vyandarua huku mazingira machafu, madimbwi mpaka milangoni duuu!
ifike mahali utjenge utamaduni wa kuwa hoji wanasiasa je hayowayasemayo yatakailika lini na kwa mikakati ipi ilala ifike mahali kiongozi apelekwe mchakamchaka ili tufikie wanavyo viahidi
 
Back
Top Bottom